Saudia haitaki Wasichana wa kazi toka Kenya

Mkuu jaribu kuwa makini wakati wa kutoa maoni, Sikiliza vizuri hizo video kuhusu wakenya mambo wanavyofanya huko Saudiahttps://youtu.be/6lwQCb1nrFM

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Kuuza papa ndio mafanikio kwako,wengi wao wanafanya biasha ya umalaya hiko middle east
 
Waafrika Ngozi nyeusi wengi bado wanaugua Epidomia
Yaani Unyani.

Unaiacha nchi ina raslimali kibao unaenda kutumikishwa Uarabuni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…