Saudia haitaki Wasichana wa kazi toka Kenya

Ukisusiwa na wewe kama una cha kumsusuia msusie.sasa wa arabu wamesusia Wakenya sio waafrica wengine.
Any way Tajiri hasusiwi,wakenya wataendelea kwenda tu.
 
Waafrika Ngozi nyeusi wengi bado wanaugua Epidomia
Yaani Unyani.

Unaiacha nchi ina raslimali kibao unaenda kutumikishwa Uarabuni.

Kwani kutumikishwa uarabuni kuna shida gani! Mbona nchi zilizohalalisha ushoga zikiwemo na baadhi ya nchi za afrika wameajiri housegirl weusi! Ukiona wanakimbilia wengi ujue kuna maslahi, ila tabia zao mbaya japo sio wote. Ni bora uajiro mfanyakazi mweupe kwa maana mhindi, muindonesia, mfilipin au mhindi kuliko mwafrika, japo sio wote wenye tabia za kishenzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…