Saudia: Wanaufalme wagombea madaraka, zaidi ya wanafamilia 20 wakamatwa kwa tuhuma za kutaka kumpindua mrithi wa ufalme

Saudia: Wanaufalme wagombea madaraka, zaidi ya wanafamilia 20 wakamatwa kwa tuhuma za kutaka kumpindua mrithi wa ufalme

Kwanini unasema sio original wakati huyu Salman ni mmoja wa wale watoto Saba wa Ibn Saud.

Labda mfalme aliyepita (Marehemu Mfalme Abdullaah) ndio hakuwa original ila mtangulizi wake ambaye aliitwa Mfalme Fahd alikuwa original.
Mkuu asante kwa kunikosoa. Kwanza Kuwait inaongozwa na emirs ambao ukoo wao hauna uhusiano wowote na Al Saud.
Hata sijui hizi data nilizotoa pale nilizikurupua wapi. Nilichanganya sana mambo.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu asante kwa kunikosoa. Kwanza Kuwait inaongozwa na emirs ambao ukoo wao hauna uhusiano wowote na Al Saud.
Hata sijui hizi data nilizotoa pale nilizikurupua wapi. Nilichanganya sana mambo.
Wee jamaa umenichekesha sana ujue[emoji23][emoji23] yaani kwamaana pale ulikua umegonga nyagi ama yokodhuna[emoji14][emoji12]

Ila kiukweli hua nakuelewa sana Mkuu wewe na Paula Paul

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu asante kwa kunikosoa. Kwanza Kuwait inaongozwa na emirs ambao ukoo wao hauna uhusiano wowote na Al Saud.
Hata sijui hizi data nilizotoa pale nilizikurupua wapi. Nilichanganya sana mambo.
Hawa wafalme wa Bahrain hawana uhusiano wowote na huu ufalme wa Saudia?
Au ni huu Usunni ndio unawaunganisha japo raia wengi wa Bahrain ni washia.

Kama unakumbuka wakati wa Arab spring utawala wa Saudia ulipeleka jeshi huko Bahrain kukandamiza maandamano ya raia ambao wengi wao ni washia.
 
Hawa wafalme wa Bahrain hawana uhusiano wowote na huu ufalme wa Saudia?
Au ni huu Usunni ndio unawaunganisha japo raia wengi wa Bahrain ni washia.

Kama unakumbuka wakati wa Arab spring utawala wa Saudia ulipeleka jeshi huko Bahrain kukandamiza maandamano ya raia ambao wengi wao ni washia.
Bahrain ni kingdom inajitegemea tofauti na Kuwait.
Kuhusu mahusiano ya Al Saud family nilikosea kuhusisha mauaji ya mfalme mmoja wa Saudi Arabia miaka ya 1970's sikujua namna alivyofatiwa na brother wake mdogo.
Nilidhani alipouwawa wale waliostahili kumfatia kwenye ufalme walikimbilia Kuwait but ukweli ni kuwa wasingeweza kuwa viongozi wa Kuwait maana kule wana ukoo wao wa kifalme pia.

In short nilikuwa nachanganya mambo kama ilivyotokea China (PRC) na Republic of China(Taiwan).
Alipokimbia Chiang Kai-Shek kwenda Taiwan serikali ya China ikaanza kuongozwa kutokea kule. Uku mainland nayo ikachagua Beijing kuwa mji mkuu na ikawa serikali mpaka leo tunavyowaona.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wee jamaa umenichekesha sana ujue[emoji23][emoji23] yaani kwamaana pale ulikua umegonga nyagi ama yokodhuna[emoji14][emoji12]

Ila kiukweli hua nakuelewa sana Mkuu wewe na Paula Paul

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilichanganya data mkuu. Ingawa nikajistukia then nikatazama family tree ya ukoo Google nikakosa ushahidi.
 
... huu ufalme wa Saudia ulishafitinika! How comes ndugu wanataka kupinduana? Tatizo la kutokuwa na clear succession procedures na zikaheshimiwa na wote; badala yake imegeuka matamko tu ndiyo yanayoamua who will be the next King MBS being the best example. Namwona Ayatollah akikenua ile mbaya!
Aliharibu ni mfalme

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Kwa mujibu wa tovuti ya habari ya “Middle East Eye”, mara baada ya kukamatwa kwa Ahmed bin Abdulaziz (Prince Ahmed), kaka wa mfalme wa Saudia, mfalme Salman bin Abdulaziz, wanafamilia wengine 20 zaidi wa familia ya kifalme wametiwa nguvuni kwa tuhuma za kupanga kumpindua mwanamfalme mrithi Muhammed bin Salman.

Miongoni mwa waliotiwa nguvuni ni pamoja na mtoto wa mwanamfalme Ahmed, mwanamfalme Nayef bin Abdulaziz, mwanamfalme mrithi wa zamani Muhammed bin Nayef na ndugu yake wa kambo Nawaf.

Katika taarifa hiyo inasema wanafamilia hao wa familia ya kifalme wametiwa nguvuni kwa tuhuma za kupanga njama kwa kushirikiana na vikosi vya kigeni ikiwemo Marekani ili kumpindua mwanamfalme mrithi Muhammed.

Inasemekana kwamba amri hiyo ya kuwakamata wanafamilia hao ina saini ya mfalme Salmani.

==============

A purge of royal princes is under way in Saudi Arabia, after the arrest of the royal family’s highest ranking dissident Prince Ahmed bin Abdulaziz, the brother of King Salman, for allegedly plotting a coup against the king's son, Crown Prince Mohammed bin Salman.

Up to 20 princes have been arrested for allegedly being part of a coup to overthrow the crown prince, also known as MBS, Middle East Eye has been told.

Four names so far are known to MEE. They are Prince Ahmed; his son Prince Nayef bin Ahmed bin Abdulaziz, Head of Land Forces Intelligence and Security Authority; the former Crown Prince Mohammed bin Nayef; and his half brother Nawaf.

Ahmed's son is the highest ranking member of the Saudi armed forces known to be arrested so far, MEE sources confirmed.

Moments after the arrests, MBS ordered the kingdom's princes to tweet their loyalty to him. Three of them have already done so.

According to a regional source cited by Reuters, MBS "accused them [the princes] of conducting contacts with foreign powers, including the Americans and others, to carry out a coup d'etat".

Reuters quoted sources as saying King Salman himself signed the arrest warrants. They claimed his mental state was good. The king is known to suffer from dementia.

There were concerns on Friday about the fate of Prince Miteb bin Abdullah, once seen as a leading contender for the throne, who was released from detention and torture in the Ritz Carlton in 2017 after paying more than $1bn in a settlement with authorities.

Miteb, 65, is the son of the late King Abdullah and former head of the elite National Guard.

Desperate act
The purge underway is the boldest and most desperate act yet of his nephew MBS in the crown prince's quest for absolute power.

It has bigger implications for the stability of the kingdom than both the purge of up to 500 members of Saudi Arabia's business elite in the Ritz Carlton on alleged corruption charges on 4 November 2017, and the state ordered murder of the journalist Jamal Khashoggi in Istanbul a year later.
MBS ana tabia sawa na babu yake Al saud ambaye iliyeanzisha huo ufalme. Yule Mzee alikuwa ruthless kama MBS tu.
 
Kuna nyakati(Maranyingi)Hua unaongea facts sana Japokua maramoja moja hua unateleza kama kawaida yetu bina adam

Ila nlimsahau na Proved nae hua namuelewa mnooo


Nb:Sio kwamba siwezi wapinga kwakua nawaelewa...

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo Nb sasa😊.
Lazima unipinge maana wewe ni Mu-iran mweusi na mimi ni mjukuu wa taifa teule..lol.

Asante Bwana utam, I'll take that as a compliment.
 
Back
Top Bottom