Saudi's Lashing Old Women; Is it Law or Religion?

Saudi's Lashing Old Women; Is it Law or Religion?

Wasema kweli yakhe?

Constitution Of The Republic Of Sudan

Part IV, Chapter 1
Article 65
Source of Legislation

The Islamic Sharia and the national consent through voting, the Constitution and custom are the source of law and no law shall be enacted contrary to these sources...

THE CRIMINAL ACT 1991

PART I
Preliminary Provisions
Interpretation and Explanations

"Hudud offence" means the offences of drinking alcohol, apostasy (ridda), adulter (zina), defamation, unchastity (quazf), armed robbery (hiraba), and capital theft.

PART XV
Adultery (Zina)
146. (1) Whoever commits the offence of adultery shall be punished with:
(a) execution by stoning where the offender is married (muhsan);
(b) 100 lashes where the offender is not married (non-muhsan).

Penalty for Capital Theft
171. (1) Whoever commits the offence of capital theft shall be punished with amputation of the right hand from the joint.

Penalty for Armed Robbery (Hiraba)
168. (1) Whoever commits the offence of armed robbery (Hiraba) shall be punished with:
(a) death, or death and then crucifixion...
(b) the amputation of the right hand and left foot...

PART IV
SANCTIONS
Death
27. (2) With the exception of Hudud and retribution (qisas) offences death sentence shall not be passed against any person who has not attained the age of eighteen or who exceeds seventy years of age. (Kitoto kikifanya Hudud kinaweza kupigwa mawe au kamba mpaka kife!)

Whipping
35. Except in offences of Hudud,
(1) No judgment of whipping shall be passed upon a person who attained 60 years of age or a sick person whose life would be endangered by whipping or whose sickness would thereby be aggravated. (Kizee kikifanya Hudud kinaweza kupigwa mbakora mpaka kizirai!)

Pardon of the Offence
38. (1) The execution of hudud shall not be remitted by pardon. (Hizo Hudud kwenye Sharia unaambiwa ukizifanya hata Rais hawezi kuku pardon. Unafaanya mchezo na Hudud!)


Kuna rapper mmoja wa Kikenya anasema "nendelee ama nisendelee.."?

Endelea, Mkuu. Endelea!
 
For which crimes does the Quran mandate specific punishments?

Five crimes known as the Hadd offenses, Lombardi says. Because these offenses are mentioned in the Quran, committing them is considered an affront to God. They are:

* Wine-drinking and, by extension, alcohol-drinking, punishable by flogging
* Unlawful sexual intercourse, punishable by flogging for unmarried offenders and stoning to death for adulterers
* False accusation of unlawful sexual intercourse, punishable by flogging
* Theft, punishable by the amputation of a hand
* Highway robbery, punishable by amputation, or execution if the crime results in a homicide.

Where are these laws applied?

Adopting hadd punishments is considered a symbol of a country's Islamic identity, even if they are rarely carried out, Powers says. Saudi Arabia and Iran have hadd crimes on the books, as do some federal states in Nigeria. However, the most severe punishments--stoning and amputation--are inflicted sparingly, experts say, in part because the Quran insists on strict evidentiary standards. "They aren't applied in cases of doubt," Powers says. States often go beyond the Quranic safeguards to add new ones. Pakistan has hadd punishments on the books, but it has set up a series of procedural roadblocks to insure they can be enforced by the state only rarely, if ever, Lombardi says. Still, vigilante applications of hadd punishments occur in Pakistan and other parts of the Islamic world.

Nimeitoa hapa: staff.4j.lane.edu/~wiebe/ihs/global/islam/docs/sharia.doc
Kwa wewe unaetetea bila kutafuta ukweli.

Kuna makosa matano tu (makosa ya Hadd) ambayo Quran imetoa hukumu. Katika hayo, hili la kukaa sebuleni na watu wasio jamaa zake halimo. Viboko wanachapwa wale waliokutwa wakifanya uzinzi, ulevi na kumsingizia mwenzao uzinzi. Hakuna mahali katika ishu hii ambapo panasema huyu bibie alifumaniwa katika threesome na hao vijana! Shehe uchwara akatafsiri ati kwa sababu anaweza kufanya nao zinaa basi amefanya nao! Na wakina Dar es Salaam wanakubali na kuitikia bila kudadisi! Mnatetea upotoshaji wa dini yenu ili mradi aliyefanya hivyo anajiita muislamu.Tutafika kweli?

Amandla..........
 
Nimeitoa hapa: staff.4j.lane.edu/~wiebe/ihs/global/islam/docs/sharia.doc
Kwa wewe unaetetea bila kutafuta ukweli.

Kuna makosa matano tu (makosa ya Hadd) ambayo Quran imetoa hukumu. Katika hayo, hili la kukaa sebuleni na watu wasio jamaa zake halimo. Viboko wanachapwa wale waliokutwa wakifanya uzinzi, ulevi na kumsingizia mwenzao uzinzi. Hakuna mahali katika ishu hii ambapo panasema huyu bibie alifumaniwa katika threesome na hao vijana! Shehe uchwara akatafsiri ati kwa sababu anaweza kufanya nao zinaa basi amefanya nao! Na wakina Dar es Salaam wanakubali na kuitikia bila kudadisi! Mnatetea upotoshaji wa dini yenu ili mradi aliyefanya hivyo anajiita muislamu.Tutafika kweli?

Amandla..........

Nimekuambia Sudan haifati Sharia, nimekuambia huyo mwanamke kama kachapwa viboko iwe Sharia au sheria basi astahili yake kwani kila nchi ina Sharia au sheria zake.

Hakuna sehemu niliyosema hiyo ni hukumu ya Sharia, na sasa unanisaidia ku-prove.

Hata sikuelewi unachong'ang'ania ni nini? au husomi ninachoandika? wewe mradi ubishe tu?

Wewe ndie unaepotosha ukweli kwa kuwa hujui unachokipinga.

Nionyeshe kwenye post zangu wapi niliposema hiyo ni Sharia? na kwa kifupi nilikueleza hata kama hiyo ni Sharia (inawezekana pia) mimi sijui.

For your information Sharia ina kitu inaitwa ''kias'', inaweza kuwa imetumika kwa huyu mwanamke kuchapwa mboko. Kosa lake si katika makosa ya Hadd kama usemavyo, na hiyo haimaanishi kwamba haikutumika Sharia.

1) Jee mwanamke wa miaka 75 hawezi kufanya ngono?

2) Jee mwanamke au mwanamme wa miak 75 hawezi kufanya kosa la kisheria na kuhukumiwa adhabu?

3) Jee mwanamke au mwanamme wa miaka 75 akifanya kosa (lolote lile liwalo) sheria inamfungia macho?

4) Sharia au sheria huwezi kuivunja kwa sababu tu, umri wako ni mkubwa.

5) Nimekuonesha na nimekubandikia (paste) habari za mwanamme wa miaka 85 tena ni kiziwi ambae kafungwa jela New Zealand kwa kosa la wizi tena wa mboga tu, (pengine alikuwa na njaa masikini kizee cha watu). Lakini sheria imemfunga.

Jee, kwa nini huyo mzee tena wa miaka 85 siyo issue na issue iwe ya mwanamke aliyekutwa na vijana wawili waki ''mingling'' peke yao?

Tafadhali usijaribu kuponda Sharia au sheria za wenzako kwa kisingizio cha udini. Dini ya kiIslam inasheria zake na kuna nchi wanazifata na inatakiwa ukiwa huko uzifate, ukitaka usitake. Hali kadhalika wasiofata sheria za Dini, wana sheria katika nchi zao na zina hukumu zake na inabidi uzifate ukitaka usitake na ukifanya kosa utahukumiwa accordingly.

Kuna nchi nyingi ambazo ni za kidini pasi ya uIslam lakini hazifati sheria za vitabu vyao, aidha makusudi kabisa au kwa kuwa hawaamni hivyo vitabu vyao kuwa ni vya Mungu au kama wanaamini ni vya Mungu basi wanaona Mungu kafanya makosa katika hizo sheria ndio wanaleta zao za kibinadam, matokeo? utajaza mwenyewe, statistics zinaonyesha na unajuwa wapi pa kuzipata.

Unachobisha ni nini?
 
Muanzishaji alikuwa na nia ya kuuliza...lkn matokeo yakawa tofauti.

Fundi Post ya mwisho uliyoweka ni post ya msingi juu ya Sharia za Kiislam ambazo Quran imeweka.

Ktk Utaratibu wa Quran ukiiangalia kwa makini hauna lengo la kuwaadhibu watu, lengo maovu kuondoka ktk Jamii. Na ndio maana makosa mengi yamehitaji uthibitisho, na ikawekwa pia kumsingizia mtu pia ni kosa....kwa kumsingizia mtu pia linavunja heshima ya mtu.

mfano kwa kesi ya zinaa, Quran imehitaji mashahidi 4, kwa utaratibu huu hata mkiona 3 kwa macho yenu, Bado ushahidi wenu hauwezi kukubaliwa ktk mahakama za Kiislam....(exceptions kwa mke na mume tu ushahidi wao kwa mmoja wapo unakubaliwa, plus Viapo mara 5)

Sina Hakika kama Hukumu iliyopitishwa Saudia ya Bi Kizee kuwa imetoka kwa Quran au Hadithi za Mtume(SAW) as fundamentals source of islamic jurispendence...(otherwise tupate data Hakimu amedraw QIYAS kwa ground gani.....)

Kwa Namna nchi zilivyowekwa sasa Hakuna Nchi ambayo 100% wanafuata Sharia za Kiislam...Saudia na wengine wanafuata baadhi tu ya sharia.
 
Muanzishaji alikuwa na nia ya kuuliza...lkn matokeo yakawa tofauti.

Fundi Post ya mwisho uliyoweka ni post ya msingi juu ya Sharia za Kiislam ambazo Quran imeweka.

Ktk Utaratibu wa Quran ukiiangalia kwa makini hauna lengo la kuwaadhibu watu, lengo maovu kuondoka ktk Jamii. Na ndio maana makosa mengi yamehitaji uthibitisho, na ikawekwa pia kumsingizia mtu pia ni kosa....kwa kumsingizia mtu pia linavunja heshima ya mtu.

mfano kwa kesi ya zinaa, Quran imehitaji mashahidi 4, kwa utaratibu huu hata mkiona 3 kwa macho yenu, Bado ushahidi wenu hauwezi kukubaliwa ktk mahakama za Kiislam....(exceptions kwa mke na mume tu ushahidi wao kwa mmoja wapo unakubaliwa, plus Viapo mara 5)

Hukumu iliyopitishwa Saudia ya Bi Kizee haiwezi kuwa imetoka kwa Quran au Hadithi za Mtume(SAW) as fundamentals source of islamic jurispendence...

Kwa Namna nchi zilivyowekwa sasa Hakuna Nchi ambayo 100% wanafuata Sharia za Kiislam...Saudia na wengine wanafuata baadhi tu ya sharia.

Mkuu, Chuma. Umenirudishia imani katika jamii yetu.

Amandla.........
 
Nimekuambia Sudan haifati Sharia, nimekuambia huyo mwanamke kama kachapwa viboko iwe Sharia au sheria basi astahili yake kwani kila nchi ina Sharia au sheria zake.

Hakuna sehemu niliyosema hiyo ni hukumu ya Sharia, na sasa unanisaidia ku-prove.

Hata sikuelewi unachong'ang'ania ni nini? au husomi ninachoandika? wewe mradi ubishe tu?

Wewe ndie unaepotosha ukweli kwa kuwa hujui unachokipinga.

Nionyeshe kwenye post zangu wapi niliposema hiyo ni Sharia? na kwa kifupi nilikueleza hata kama hiyo ni Sharia (inawezekana pia) mimi sijui.

For your information Sharia ina kitu inaitwa ''kias'', inaweza kuwa imetumika kwa huyu mwanamke kuchapwa mboko. Kosa lake si katika makosa ya Hadd kama usemavyo, na hiyo haimaanishi kwamba haikutumika Sharia.

1) Jee mwanamke wa miaka 75 hawezi kufanya ngono?

2) Jee mwanamke au mwanamme wa miak 75 hawezi kufanya kosa la kisheria na kuhukumiwa adhabu?

3) Jee mwanamke au mwanamme wa miaka 75 akifanya kosa (lolote lile liwalo) sheria inamfungia macho?

4) Sharia au sheria huwezi kuivunja kwa sababu tu, umri wako ni mkubwa.

5) Nimekuonesha na nimekubandikia (paste) habari za mwanamme wa miaka 85 tena ni kiziwi ambae kafungwa jela New Zealand kwa kosa la wizi tena wa mboga tu, (pengine alikuwa na njaa masikini kizee cha watu). Lakini sheria imemfunga.

Jee, kwa nini huyo mzee tena wa miaka 85 siyo issue na issue iwe ya mwanamke aliyekutwa na vijana wawili waki ''mingling'' peke yao?

Tafadhali usijaribu kuponda Sharia au sheria za wenzako kwa kisingizio cha udini. Dini ya kiIslam inasheria zake na kuna nchi wanazifata na inatakiwa ukiwa huko uzifate, ukitaka usitake. Hali kadhalika wasiofata sheria za Dini, wana sheria katika nchi zao na zina hukumu zake na inabidi uzifate ukitaka usitake na ukifanya kosa utahukumiwa accordingly.

Kuna nchi nyingi ambazo ni za kidini pasi ya uIslam lakini hazifati sheria za vitabu vyao, aidha makusudi kabisa au kwa kuwa hawaamni hivyo vitabu vyao kuwa ni vya Mungu au kama wanaamini ni vya Mungu basi wanaona Mungu kafanya makosa katika hizo sheria ndio wanaleta zao za kibinadam, matokeo? utajaza mwenyewe, statistics zinaonyesha na unajuwa wapi pa kuzipata.

Unachobisha ni nini?

Hakuna sheria Saudia nje ya Sharia. Sheria zote, hata hiyo ya kuzuia wanawake kuendesha gari, zimekuwa based kwenye intrpretation yao ya Sharia.

Kwani Sharia inatoa hukumu kwa uwezo wa kufanya ngono na si kufanya ngono? Kama ni hivyo, kuna haja gani ya kutaka ushahidi ( tena mzito) kwenye ishu za uzinzi?

Hakuna mahali ambapo panasema palipelekwa ushahidi wa kuwa huyu bibie alifanya ngono. Sasa kama hiyo adhabu imekuwa based kwenye speculations basi inaonyesha kuna fundamental bias katika mtazamo wote.

WELLINGTON (Reuters) - A wheezing, deaf 85-year-old war hero described as an incorrigible thief has been sent to jail for a month for shoplifting, making him the oldest person in New Zealand jails, officials said Thursday.

Reginald Hugh Donovan has about 50 previous petty theft convictions since 2000, mainly for stealing grocery items, and has been banned from many stores in Christchurch, the largest city in New Zealand’s South Island.

Huo mfano unaouzungumzia unahusu mtu aliyekamatwa zaidi ya mara 50. New Zealand wana social security system inayowalea vikongwe kama hivi kwa hiyo suala la njaa halipo.

Tena, ni lazima tuelewe tunapozungumzia jela kwa wenzetu ni sehemu za namna gani. Huyu ni lazima atawekwa kwenye Minimum security jail ambako atakuwa na haki kibao.

Yote haya ni tofauti na hukumu ya kumkata mkono ambayo bila shaka ingemkuta kwenye nchi inayofuata Sharia.

Hatukatai kuadhibiwa mtu kwa kufanya kosa. Tunachopinga ni adhabu zisizoendana na kosa. Hauwezi kulinganisha kukaa sebuleni na watu wasio jamaa zako na udokozi uzoefu. Hauwezi kulinganisha viboko 40 na jela mwezi mmoja katika minimum security prison New Zealand!

Statistics ulizoweka mwenyewe hazitetei hoja yako. Saudi Arabia ina murder cases nyingi kuliko Jamaica! Utetezi kuwa wanaotenda hizo mada ni wageni hauna mantik.

Amandla.....
 
Hakuna sheria Saudia nje ya Sharia. Sheria zote, hata hiyo ya kuzuia wanawake kuendesha gari, zimekuwa based kwenye intrpretation yao ya Sharia.

Kwani Sharia inatoa hukumu kwa uwezo wa kufanya ngono na si kufanya ngono? Kama ni hivyo, kuna haja gani ya kutaka ushahidi ( tena mzito) kwenye ishu za uzinzi?

Hakuna mahali ambapo panasema palipelekwa ushahidi wa kuwa huyu bibie alifanya ngono. Sasa kama hiyo adhabu imekuwa based kwenye speculations basi inaonyesha kuna fundamental bias katika mtazamo wote.



Huo mfano unaouzungumzia unahusu mtu aliyekamatwa zaidi ya mara 50. New Zealand wana social security system inayowalea vikongwe kama hivi kwa hiyo suala la njaa halipo.

Tena, ni lazima tuelewe tunapozungumzia jela kwa wenzetu ni sehemu za namna gani. Huyu ni lazima atawekwa kwenye Minimum security jail ambako atakuwa na haki kibao.

Yote haya ni tofauti na hukumu ya kumkata mkono ambayo bila shaka ingemkuta kwenye nchi inayofuata Sharia.

Hatukatai kuadhibiwa mtu kwa kufanya kosa. Tunachopinga ni adhabu zisizoendana na kosa. Hauwezi kulinganisha kukaa sebuleni na watu wasio jamaa zako na udokozi uzoefu. Hauwezi kulinganisha viboko 40 na jela mwezi mmoja katika minimum security prison New Zealand!

Statistics ulizoweka mwenyewe hazitetei hoja yako. Saudi Arabia ina murder cases nyingi kuliko Jamaica! Utetezi kuwa wanaotenda hizo mada ni wageni hauna mantik.

Amandla.....

Kama ''mingling'' ya mwanamke na mwanmme ni kosa huko Saudia na hukumu imetolewa kwa kosa hilo, kuna tatizo lipi?

Na kosa hapo si kukaa, kosa ni ''mingling'' na tafsiri ya mingling uliileta mwenyewe, sasa una tatizo gani?

Unaambiwa Sharia ina ''kias'' na kila kosa linaloainishwa ki Sharia kama halina hukumu yake kwenye Qur'an basi lina hukumiwa kwa ''kias''.

Ndio hapo utapoona kuwa sheria haina umri, mzee wa miaka 85 kafanya kosa kahukumiwa jela kutokana na hukumu zao huko alikohukumiwa, no matter hata ikiwa jela ni kama 5 star hotel huko kwao. Sheria ya huko imechukuwa mkondo wake.

Hali kadhalika mwanamke wa miaka 75 ana mingle na vijana wawili wanaoweza kumuoa, huko alikohukumiwa ukikutwa na kosa kama hilo hukumu yao ni mboko na huyo mwanamke kacharazwa accordingly.

Tatizo ni nini? linalokufanya wewe usielewe? kuwa kila nchi ina Sharia au Sheria zake na ina hukumu zake? au tatizo ni umri wa huyo mwanamke? kama ni umri umeshaona kuwa umri hauko juu ya Sharia au sheria. Au tatizo lako ni nini hasa?

Statiscs zangu still zinaonyesha Saudia iko namba 62 katika nchi 63 zilizofanyiwa sampling, hii inaonyesha kuwa crime rate ni ndogo sana uki-compare na hizo nchi zilizo juu yake. Hizo statiscs zako sijuwi ziko wapi? zangu nimekandamiza hapo juu.
 
Kama ''mingling'' ya mwanamke na mwanmme ni kosa huko Saudia na hukumu imetolewa kwa kosa hilo, kuna tatizo lipi?

Na kosa hapo si kukaa, kosa ni ''mingling'' na tafsiri ya mingling uliileta mwenyewe, sasa una tatizo gani?

Unaambiwa Sharia ina ''kias'' na kila kosa linaloainishwa ki Sharia kama halina hukumu yake kwenye Qur'an basi lina hukumiwa kwa ''kias''.

Ndio hapo utapoona kuwa sheria haina umri, mzee wa miaka 85 kafanya kosa kahukumiwa jela kutokana na hukumu zao huko alikohukumiwa, no matter hata ikiwa jela ni kama 5 star hotel huko kwao. Sheria ya huko imechukuwa mkondo wake.

Hali kadhalika mwanamke wa miaka 75 ana mingle na vijana wawili wanaoweza kumuoa, huko alikohukumiwa ukikutwa na kosa kama hilo hukumu yao ni mboko na huyo mwanamke kacharazwa accordingly.

Tatizo ni nini? linalokufanya wewe usielewe? kuwa kila nchi ina Sharia au Sheria zake na ina hukumu zake? au tatizo ni umri wa huyo mwanamke? kama ni umri umeshaona kuwa umri hauko juu ya Sharia au sheria. Au tatizo lako ni nini hasa?

Statiscs zangu still zinaonyesha Saudia iko namba 62 katika nchi 63 zilizofanyiwa sampling, hii inaonyesha kuwa crime rate ni ndogo sana uki-compare na hizo nchi zilizo juu yake. Hizo statiscs zako sijuwi ziko wapi? zangu nimekandamiza hapo juu.

(CNN) -- A Saudi Arabian court has sentenced a 75-year-old Syrian woman to 40 lashes, four months imprisonment and deportation from the kingdom for having two unrelated men in her house, according to local media reports.

According to the Saudi daily newspaper Al-Watan, troubles for the woman, Khamisa Mohammed Sawadi, began last year when a member of the religious police entered her house in the city of Al-Chamli and found her with two unrelated men, "Fahd" and "Hadian."

Fahd told the policeman that he had the right to be there, because Sawadi had breast-fed him as a baby and was therefore considered to be a son to her in Islam, according to Al-Watan. Fahd, 24, added that his friend Hadian was escorting him as he delivered bread for the elderly woman. The policeman then arrested both men.

Saudi Arabia follows a strict interpretation of Islam called Wahhabism and punishes unrelated men and women who are caught mingling.

Ninachopinga mimi ni kumchapa viboko mtu kwa sababu tu amekutwa na watu wasio jamaa zake sebuleni. Ni wangapi kati yetu ambao thuwa tunawatembelea rafiki za mama zetu, mama za rafiki zetu, majirani zetu walio watu wazima wa jinsia tofauti bila kuwa na wazo la ngono? Leo hawa waislamu safi wanamcharaza viboko na kumfunga mwanamke kwa kuletewa mikate na vijana anaowafahamu! Halafu, bila aibu unatetea upuuzi huo?

Si sheria zote zinazotumika katika nchi ni za haki. Makaburu walikuwa na sheria za kibaguzi. Hizi zilipingwa kwa sababu hazikuwatendea haki watu weusi. Wamarekani walikuwa na sheria inayoruhusu kunyongwa watoto wadogo. Hii ilipingwa kwa sababu haikuwatendea haki watoto. Zote hizi zimefutwa baada ya kelele ya watu. Vile vile hii sheria au Sharia kama ilivyo, inastahili kupingwa maana inawatendea dhulma wakina mama.

Statistics zako zinahusu Murder na si makosa mengine. Zangu zinahusu makosa yote yanayohesabiwa kuwa ni uvunjaji wa sheria.

Bado unatafuta statistics zangu? Nimekuwekea link ( posting namba 28), umesema hauioni. Nime-copy na ku-paste ( posting namba 76), bado unadai hauioni. Au tatizo ni kuwa haujui kusoma na kuna mtu anakuandikia? Wasiwasi huu unatokana na kuwa hata ku-quote data zako kunakushinda. Kutokana na statistics zako zinazohusu homicides, Saudi Arabia ni ya 61 ( si ya 62) na Qatar ni ya 62 .

#50 Tunisia: 0.0112159 per 1,000 people
#51 Netherlands: 0.0111538 per 1,000 people
#52 New Zealand: 0.0111524 per 1,000 people
#53 Denmark: 0.0106775 per 1,000 people
#54 Norway: 0.0106684 per 1,000 people
#55 Ireland: 0.00946215 per 1,000 people
#56 Switzerland: 0.00921351 per 1,000 people
#57 Indonesia: 0.00910842 per 1,000 people
#58 Greece: 0.0075928 per 1,000 people
#59 Hong Kong: 0.00550804 per 1,000 people
#60 Japan: 0.00499933 per 1,000 people
#61 Saudi Arabia: 0.00397456 per 1,000 people
#62 Qatar: 0.00115868 per 1,000 people
Weighted average: 0.1 per 1,000 people



DEFINITION: Total recorded intentional homicides, completed. Crime statistics are often better indicators of prevalence of law enforcement and willingness to report crime, than actual prevalence. Per capita figures expressed per 1,000 population.

Enough said. I am out of here.

Amandla.......
 
Qíás is the fourth foundation of Islám. The word literally means reasoning, comparing. It is in common use in Hindustani and Persian in the sense of guessing, considering, &c. Technically, it means the analogical reasoning of the learned with regard to the teaching of the Qurán, the Sunnat and the Ijmá'. For example, the Qurán says:—"Honour thy father and thy mother and be not a cause of displeasure to them." It is evident from this that disobedience to parents is prohibited, and prohibition implies punishment if the order is disobeyed. Again, if the Qurán and the Sunnat hold children responsible, according to their means, for the debts of their father, does it not follow that the elder ones ought to fulfil for their parents all those obligations which for some reason or other the parents may not be able to perform, such as the pilgrimage to Mecca, &c. A Tradition said to come from the Companions runs thus:—"One day, a woman came to the Prophet and said, 'my father died without making the Pilgrimage.' The Prophet said, 'If thy father had left a debt what wouldest thou do,' 'I would pay the debt.' 'Good, then pay this debt also.'" The Qurán forbids the use of Khamar, an intoxicating substance, and so it is argued that wine and opium are unlawful, though not forbidden by name. The Wahhábís would extend the prohibition to the use of tobacco.

Qias ni reasoning . Qias haibadili maana ya hadd. Sasa itakuwaje itumike Qias kubadili kukaa sebuleni kuwa zinaa? Kuna reasoning gani hapa?

Msipende kutudanganya. Kwa kufanya hivyo, mnawafanya wengine wakose imani na dini yenu!
 
Qias ni reasoning . Qias haibadili maana ya hadd. Sasa itakuwaje itumike Qias kubadili kukaa sebuleni kuwa zinaa? Kuna reasoning gani hapa?

Msipende kutudanganya. Kwa kufanya hivyo, mnawafanya wengine wakose imani na dini yenu!

Tafadhali usibadilishe maana, yule mwanamke hakuchapwa kwa kufanya zinaa, na viboko arubaini siyo hukumu ya zinaa.

Amehukumiwa kwa ''mingling''.

Wapi ulipoona amehukumiwa kwa zinaa?, nakuambia muda mrefu sasa ''usitie maneno yako kinywani mwangu''.

Mimi naona wewe ndie unaejidanganya kwa kuzuwa yasiyokuwepo, hujajibu hata swali moja nililokuuliza, unakurupuka mara Sudan, mara zinaa, mara statistics ambazo umeshindwa kuzikandamiza hapa, ni nini hasa kinachokusumbuwa? hebu kuwa mkweli.
 
Qias ni reasoning . Qias haibadili maana ya hadd. Sasa itakuwaje itumike Qias kubadili kukaa sebuleni kuwa zinaa? Kuna reasoning gani hapa?

Msipende kutudanganya. Kwa kufanya hivyo, mnawafanya wengine wakose imani na dini yenu!


Hata hiyo uliyoi-paste inakusuta, na kama nilivyokwambia imetumika ''Kias'' katika hukumu ya ''mingling'' na hakukamatwa kwa zinaa wala hakuhukumiwa kuwa kafanya zinaa. Narudia, kahukumiwa kwa mingling na vijana wa kiume wawili wanaoweza kumuoa kisheria, wala sio kukaa sebuleni kama unavyotaka wewe, Na maana ya mingling uliitafuta mwenyewe ukaibandika hapo juuu, au irudie uisome uone tofauti ya kukaa sebuleni na minglig. Au?

Sasa wewe hiyo ya kubadilisha mingling kuwa zinaa umeitowa wapi? au ndio kuhaha huko?
 
Hata hiyo uliyoi-paste inakusuta, na kama nilivyokwambia imetumika ''Kias'' katika hukumu ya ''mingling'' na hakukamatwa kwa zinaa wala hakuhukumiwa kuwa kafanya zinaa. Narudia, kahukumiwa kwa mingling na vijana wa kiume wawili wanaoweza kumuoa kisheria, wala sio kukaa sebuleni kama unavyotaka wewe, Na maana ya mingling uliitafuta mwenyewe ukaibandika hapo juuu, au irudie uisome uone tofauti ya kukaa sebuleni na minglig. Au?

Sasa wewe hiyo ya kubadilisha mingling kuwa zinaa umeitowa wapi? au ndio kuhaha huko?

Sheria ya viboko inahusu zinaa na si mingling kama unavyotaka kutuambia. Ili huyu mama ahukumiwe hivyo viboko basi ilitakiwa itumike Qias kugeuza kitendo cha mingling kuwa zinaa. Kwa kifupi hakuna viboko kwa ajili ya "mingling". Qias haibadilishi sharia bali inatumika kuifafanua. Kwa mfano, Hadd inazungumzia unywaji wa mvinyo lakini Qias inatumika kuunganisha hata ulabu wa bia, whisky n.k. kuwa ni ulevi ingawa havikutajwa kwenye Sharia. Kwa hali hiyo, mlevi wa bia atahukumiwa sawa na mlevi wa mvinyo. Adhabu yao wote hao ni bakora.

Kwa mantik hii basi, katika hii ishu, Qias imetumika kufananisha kukaa sebuleni ( ambayo haimo katika Hadd) kuwa sawa na zinaa ambayo imo katika Hadd na adhabu yake ni viboko. Asingeweza kupewa adhabu hiyo kwa namna nyingine. Rationale ya kufanya hivi ni suspect. Bila shaka waliomhukumu walitaka mali za huyo bibi mgeni hasa ukizingatia kuwa adhabu iliendana na yeye kufukuzwa Saudi Arabia. Hakuna cha Sharia hapa, ni uonevu mtupu.

Ikiwa mingling ni Hadd basi kwa namna yeyote wanawake wasingeruhusiwa kuchanganyika na wanaume sehemu yeyote. Wasingeruhusiwa kutumia barabara moja na wanaume, wasingeruhusiwa kupanda ndege moja na wanaume, wasingeruhusiwa kwenda sokoni, n.k. Mingling si sebuleni tu au kwenye sehemu za starehe. Ni sehemu zote.

Naona nampigia gita mbuzi. Kwa hali hiyo, mchango wangu katika mada hii unaishia hapa. Napoteza muda kujadiliana na fanatic ambae hata vitabu vyake vinamshinda kuelewa.

Amandla.......
 
Sheria ya viboko inahusu zinaa na si mingling kama unavyotaka kutuambia. Ili huyu mama ahukumiwe hivyo viboko basi ilitakiwa itumike Qias kugeuza kitendo cha mingling kuwa zinaa. Kwa kifupi hakuna viboko kwa ajili ya "mingling". Qias haibadilishi sharia bali inatumika kuifafanua. Kwa mfano, Hadd inazungumzia unywaji wa mvinyo lakini Qias inatumika kuunganisha hata ulabu wa bia, whisky n.k. kuwa ni ulevi ingawa havikutajwa kwenye Sharia. Kwa hali hiyo, mlevi wa bia atahukumiwa sawa na mlevi wa mvinyo. Adhabu yao wote hao ni bakora.

Kwa mantik hii basi, katika hii ishu, Qias imetumika kufananisha kukaa sebuleni ( ambayo haimo katika Hadd) kuwa sawa na zinaa ambayo imo katika Hadd na adhabu yake ni viboko. Asingeweza kupewa adhabu hiyo kwa namna nyingine. Rationale ya kufanya hivi ni suspect. Bila shaka waliomhukumu walitaka mali za huyo bibi mgeni hasa ukizingatia kuwa adhabu iliendana na yeye kufukuzwa Saudi Arabia. Hakuna cha Sharia hapa, ni uonevu mtupu.

Ikiwa mingling ni Hadd basi kwa namna yeyote wanawake wasingeruhusiwa kuchanganyika na wanaume sehemu yeyote. Wasingeruhusiwa kutumia barabara moja na wanaume, wasingeruhusiwa kupanda ndege moja na wanaume, wasingeruhusiwa kwenda sokoni, n.k. Mingling si sebuleni tu au kwenye sehemu za starehe. Ni sehemu zote.

Naona nampigia gita mbuzi. Kwa hali hiyo, mchango wangu katika mada hii unaishia hapa. Napoteza muda kujadiliana na fanatic ambae hata vitabu vyake vinamshinda kuelewa.

Amandla.......

Pole sana, naona mambo ya Hadd na Kias yamekupiga chenga, bora usilikoroge, kama hujui ukisemacho bora ulivoamuwa ukae kimya tuu, utachekwa!
 
Pole sana, naona mambo ya Hadd na Kias yamekupiga chenga, bora usilikoroge, kama hujui ukisemacho bora ulivoamuwa ukae kimya tuu, utachekwa!

Inawezekana kabisa kuwa yamenipiga chenga. Lakini bado nasimamia hoja yangu kuwa kumtandika bakora mtu yeyote kwa kukaa sebuleni na mtu anayeweza kumuoa ni uonevu wa hali ya juu! Iwe imetoka kwenye Sheria, Sharia, Hadd, Qias, Quran, Mahabharata au hata Biblia!

Amandla......
 
Kuhani what makes you think that. I think you should take it easy and make it as funny.
 
Inawezekana kabisa kuwa yamenipiga chenga. Lakini bado nasimamia hoja yangu kuwa kumtandika bakora mtu yeyote kwa kukaa sebuleni na mtu anayeweza kumuoa ni uonevu wa hali ya juu! Iwe imetoka kwenye Sheria, Sharia, Hadd, Qias, Quran, Mahabharata au hata Biblia!

Amandla......

...Nuff sed!
 
Inawezekana kabisa kuwa yamenipiga chenga. Lakini bado nasimamia hoja yangu kuwa kumtandika bakora mtu yeyote kwa kukaa sebuleni na mtu anayeweza kumuoa ni uonevu wa hali ya juu! Iwe imetoka kwenye Sheria, Sharia, Hadd, Qias, Quran, Mahabharata au hata Biblia!

Amandla......

Kwa hiyo tatizo la umri halipo tena au sio? Sasa hiyo ndio adhabu ya tendo walilofanya, Kichwa cha habari kinasema ''mingling'', iwe sebuleni au kwengine kokote kule, it doesn't matter. Wewe kama unaona ni adhabu kali basi ukiwa huko usijaribu ku-mingle na wanawake unaoweza kuwaoa, ukikamatwa hukumu yake ni mboko kwa wote na kifungo juu. Hiyo ndio Saudia.

Kama vile wewe uonavyo ni uonevu kuchapwa bakora mwanamke anae mingle na wanaume wanaoweza kumuowa, mimi kwa upande wangu naona ni uonevu mkubwa wanawake wanapotembezwa jukwaani uchi au nusu uchi wakishindanishwa nani zaidi.

Saudia Motto is: LOVE IT OR LEAVE IT
 

Let us read the ins and outs of Koran, Islam, and Sharia Law

Democracy and freedom are an affront to Allah. All constitutions are offense to Allah and must be destroyed and replaced with Sharia Law.

Large parts of the Koran are legal code and form Islamic constitutional law. Since Muslims believe that these laws come from Allah and Mohammed they are of a higher order truth than any man-made laws. Therefore, Sharia law must replace all other forms of government.

Sharia is the legal code ordained by Allah of Ilsam for all mankind, according ot Muhammadans. To violate Sharia or not to accept its authority is to commit rebellion against Allahof Muhammad, which Allah's faithful are required to combat. Under Sharia law, all kafirs are second class citizens. Women can be beaten and slavery is allowed, as they did to the 75 years old poor lady. And just as in political Islam, Sharia wicked law cannot be reformed.

For that matter, democracy violates Sharia law. Democracy assumes equality of all peoples. Islam teaches that a Muslim is a better person than kafirs and that the kafirs should submit to Islam.

There is no separation between the religious and the political in Islam; rather Islam and Sharia constitute a comprehensive means of ordering society at every level. While it is in theory possible for an Islamic society to have different outward forms -- an elective system of government, a hereditary monarchy, etc. -- whatever the outward structure of the government, Sharia is the prescribed content. It is this fact that puts Sharia into conflict with forms of government based on anything other than the Quran and the Sunnah.

In order to understand Islam, you must suspend all rationally and reason. Everything you have ever been taught about God, the equality of humanity, morality, goodness and kindness must be abandoned for the irrational, immoral World of Allah - the ANTI GOD where murder, rape, slavery, terror, torture, brutality, hate are not criminal acts but all holy blessed duties to be rewarded by God.

Islam is all about Muslim men. It is an evil ideology created by a man - Muhammad for his male followers granting them unlimited sex, riches, and political power. Allah hates all Muslim women with a deep seated loathing. Muslim women are vile, dirty, stupid creatures. Muslim men can have multiple wives, unlimited sex slaves, can marry and rape Muslim baby girls, beat his wives, and murder them and his daughters if they dare impugn his honor.

In Islam there is no Golden Rule - treat others as you wish to be treated.

The Golden Rule is centered on ethics, not god, and is universal to all cultures, except Islam. Indeed, the whole Islamic Trilogy (Koran, Sira and Hadith) denies the truth of the Golden Rule.

This is why even here at Jamii Forum you will continue to see these Islams fighting for Sharia wicked law. It is shame and sad to see that these people still can't see that Marehemu Muhammad was just a bogus man and full of bs.

Benediction: Poleni sana wafuasi wa dini ya wamanga.

Max Shimba, A bondservant of Jesus Christ, KING of Kings and LORD of Lords.
 
Endelea, Mkuu. Endelea!

Misingi mingi ya kikandamizaji na kifashisti ya Shariʿa iko informed na hadithi:

"Allah (Subhanahu wa ta'ala) will curse those procrastinating women who, when their husbands call them to their beds, say ‘I will, I will . . .' until he falls asleep."

( See A sahih hadith by al-Tabarani Majma' 4/296...)


howieiranstoning.jpg


beating3.jpg


beating5.jpg


She was a poetess who belonged to a tribe of Medinan pagans. When Abu `Afak had been killed she displayed disaffection. She composed a poem blaming them for obeying a stranger (Muhammad) and for not taking the initiative to attack him by surprise. When the Allah-inspired Prophet heard what she had said, he asked, 'Who will rid me of Marwan's daughter?' A member of her husband's tribe volunteered and crept into her house that night. She had five children, and the youngest was sleeping at her breast. The assassin gently removed the child, drew his sword, and plunged it into her, killing her in her sleep.

In the morning he came to the apostle and told him what he had done. When he asked if he would have to bear any evil consequences the apostle said, "Two goats won't butt their heads about her."

(Ibn Ishaq, pg. 306 The Life of Muhammad)

lapidation_zoom.jpg


18301a.jpg


sharia.jpg


19520a.jpg


A blind man had a slave-mother who used to abuse the Prophet...and disparage him. He forbade her but she did not stop. He rebuked her but she did not give up her habit. One night she began to slander the Prophet . . . and abuse him. So he took a dagger, placed it on her belly, pressed it, and killed her. A child who came between her legs was smeared with the blood that was there.

When the morning came, the Prophet was informed about it. He assembled the people and said: I adjure by Allah the man who has done this action and I adjure him by my right to him that he should stand up. Jumping over the necks of the people and trembling, the man stood up.

He sat before the Prophet . . . and said: Apostle of Allah! I am her master; she used to abuse you and disparage you. I forbade her, but she did not stop, and I rebuked her, but she did not abandon her habit. I have two sons like pearls from her, and she was my companion. Last night she began to abuse and disparage you. So I took a dagger, put it on her belly and pressed it till I killed her.

Thereupon the Prophet . . . said: Oh be witness, no retaliation is payable for her blood.

(Hadith of Abu Dawud, Book 38, Number 4348, marrated Abdullah Ibn Abbas)


zarmina1.jpg

A woman came to ask the Prophet (sallallahu ‘alayhi wa sallam) about some matter, and when he'd dealt with it,

He asked her, "Do you have a husband?"
She said, "Yes."
He asked her, "How are you with him?"
She said, "I never fall short in my duties, except for that which is beyond me."
He said, "Pay attention to how you treat him, for he is your Paradise and your Hell."

( See Kitab al-nikah, al-Mundhiri, Al-Targhib wa'l-Tarhib, 3/52, )

burning1.jpg


Hadeeth zinazo inform misingi ya kifashisti ya Sharia hazina mpango!​
 

Sheria ya kuchoma watu hai ni hii hapa chini. Uislam ni balaa.

Tabari VIII:122/Ishaq:515 “The Prophet gave orders concerning Kinanah to Zubayr, saying, ‘Torture him until you root out and extract what he has. So Zubayr kindled a fire on Kinanah’s chest, twirling it with his firestick until Kinanah was near death. Then the Messenger gave him to Maslamah, who beheaded him.”

Alafu wakakata kichwa.
 
Back
Top Bottom