Faida zake zipo nyingi baadhi ni kama kutoa sumu aina ya heavy metals mwilini, kushusha blood pressure, kupendezesha ngozi, kuufanya mwili u relax na hivyo kuondoa stress, uchovu na kusababisha upate usingizi vizuri, husaidia hata kupunguza uzito (ingawa uzito utarejea mara utakapokunywa maji). Ila ni hatari kwa watu wenye low blood pressure kwani sauna hushusha sana pressure. Sauna pia zipo za aina nyingi, faida zake hutofautiana kidogo hivyo ni lazima ujue aina ya sauna unayotaka kutumia. Google benefits of sauna ujifunze zaidi