SAUT acheni kuumiza wanafunzi wenu kwa pass mark


Unaelewa pass mark ya SUA ni ngapi? je sio cha serikali?
 

Mbona hata Muhimbili ukipata chini ya 50% umefeli
 
mazungumzo haya yanawasumbua sana nyie vijana mlioko vyuoni.. Malizeni mje kazini muone mambo yalivyotofauti... Interviews haziangalii umesoma wap jaman., kuna mambo mengi sana yakuangalia na hao mnaowaita vilaza wanaotok vyuo vya private ndo wanafany vzuri. Wanafunzi wa tumaini wamejaa huku kama sisimizi. Chuoni tafuta GPA ujuzi na uzoefu kazini.
 
alafu mtoa mada acha kupotosha, mm nasoma saut na pass ni 40 ss ww cjui iyo 49 umeitoa wp
 
Tatizo siyo pass,je ubora wa mitihan ukoje!vyuo ving vya private huwa wanalegeza vimitihan il wasipoteze wateja ,ada
 
Kila mtu anafaham kuwa vyuo ving vya private vinajiendesha kwa michango ya wnfz,ukisema wadisko,ina maana chuo kifungwe
 
Kila mtu anafaham kuwa vyuo ving vya private vinajiendesha kwa michango ya wnfz,ukisema wadisko,ina maana chuo kifungwe

Hahahahaha Saut hawategemei Ada za wanafunzi!!
Nenda pale kuna watu wanasoma first to third year Free of charge....
 
Nyie vijana na majigambo ya vyuo,duh hebu malizenu vyuo mje tuungane makazini huku hayo majigambo ya vyuo yameshatuchosha!
 
point of recommendation!!! before you speak out search and research, according to TCU guidelines proposed as a regulator for all Universities pass mark. no university is allowed to offer or set its own grades, this is per TCU guidelines
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…