SAUT acheni kuumiza wanafunzi wenu kwa pass mark

SAUT acheni kuumiza wanafunzi wenu kwa pass mark

Hiki chuo pass marks zake zipo juu sana kulinganisha na vyuo vya serikali maana kwenye soko la ajira wakati mwingine wanaangalia ufaulu mfano kwa saut mtu anaepata chini ya 49 huyo kafeli wakati vyuo kama Udom na Udsm kafaulu, ni bora sasa pass mark zilingane na vyuo vya serikali.

Unaelewa pass mark ya SUA ni ngapi? je sio cha serikali?
 
Hiki chuo pass marks zake zipo juu sana kulinganisha na vyuo vya serikali maana kwenye soko la ajira wakati mwingine wanaangalia ufaulu mfano kwa saut mtu anaepata chini ya 49 huyo kafeli wakati vyuo kama Udom na Udsm kafaulu, ni bora sasa pass mark zilingane na vyuo vya serikali.

Mbona hata Muhimbili ukipata chini ya 50% umefeli
 
mazungumzo haya yanawasumbua sana nyie vijana mlioko vyuoni.. Malizeni mje kazini muone mambo yalivyotofauti... Interviews haziangalii umesoma wap jaman., kuna mambo mengi sana yakuangalia na hao mnaowaita vilaza wanaotok vyuo vya private ndo wanafany vzuri. Wanafunzi wa tumaini wamejaa huku kama sisimizi. Chuoni tafuta GPA ujuzi na uzoefu kazini.
 
alafu mtoa mada acha kupotosha, mm nasoma saut na pass ni 40 ss ww cjui iyo 49 umeitoa wp
 
Tatizo siyo pass,je ubora wa mitihan ukoje!vyuo ving vya private huwa wanalegeza vimitihan il wasipoteze wateja ,ada
 
Kila mtu anafaham kuwa vyuo ving vya private vinajiendesha kwa michango ya wnfz,ukisema wadisko,ina maana chuo kifungwe
 
Kila mtu anafaham kuwa vyuo ving vya private vinajiendesha kwa michango ya wnfz,ukisema wadisko,ina maana chuo kifungwe

Hahahahaha Saut hawategemei Ada za wanafunzi!!
Nenda pale kuna watu wanasoma first to third year Free of charge....
 
Nyie vijana na majigambo ya vyuo,duh hebu malizenu vyuo mje tuungane makazini huku hayo majigambo ya vyuo yameshatuchosha!
 
point of recommendation!!! before you speak out search and research, according to TCU guidelines proposed as a regulator for all Universities pass mark. no university is allowed to offer or set its own grades, this is per TCU guidelines
 
Back
Top Bottom