Wewe uliyeleta uzi nina mashaka elimu haijakukomboa sasa kama "c" ya saut ni 50 so what?acha upumbav wa elimu ya kwny makaratasi na vyeti,tunataka elimu yako iwe na positive impact kwny jamii na mazingira yanayokuzunguka co unaanzisha mijadala ya kijingajinga
Saut 50 Ni C, 40 Umesapu
wewe uliyeleta uzi nina mashaka elimu haijakukomboa sasa kama "c" ya saut ni 50 so what?acha upumbav wa elimu ya kwny makaratasi na vyeti,tunataka elimu yako iwe na positive impact kwny jamii na mazingira yanayokuzunguka co unaanzisha mijadala ya kijingajinga
Saut wako juu kiasi