Motisha kwa Watz
Member
- Apr 28, 2012
- 13
- 1
vyuo vya kata bwana.
Naomba majina ya waliotoa amri ya kuongeza hiyo 90 kwanza..halafu tutafuatilia kuhusu hiyo 210 kwa FR.MWANJONDE kujua imetokea wapi.. Usisahau kunipatia majina ya wahusika
Mjiandae kuachia hivyo vyumba muende kwanza JKT Chezea serikali ya kikwete.
dah poleni sana mambo kama hayo hapa saut ni kawaida hata udom mwaka wa 2 wanatakiwa kulipa laki 1 ya matibabu wakati washalipa first year nafanya mawasiliano na rais wa sautso kulikoni ni changamoto 2
vyuo vya kata bwana.
vyuo vya kata bwana.
vyuo vya kata bwana.