Saut-Mwanza Semista ya Pili inaanza Kesho


Ushahidi uko wapi?
 
Hakuna amchekae baba yake hata kama angekuwa vp ,atamsifiya tu. Nawaombeni tuache malumbano .ukweli utabaki kuwa ukweli na uongo vile vile.
 
Binafsi graduates wa saut sion tatizo lao,ila wale wa tumaini ndio vilaza balaa.
 
Chuo hakina ku fail...wala disko

Kudisko kweli hamna..hila hilo la vilaza kufail ni la kufikia tu..ni ka vile system ya CPA hakuna kugradute utarudia /kucarry mpaka uzeeke chuo..ni kawida mno kwa SAUT kusikia darasa la wanafunzi 300 wamegraduate 200 while 100 wamebakizwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…