Unakuta kozi kama sheria(LL,B) SAUT inachukua mpaka iii.17 jamani huu ni udhalilishaji wa taaluma makini ya sheria kwa sababu kozi ya sheria inahitaji watu wenye ufaulu mzuri ! mbaya zaidi unakuta chuo cha SAUT kozi ya sheria kinachukua mpaka waliopata F&S za kingereza hii ni hatari sana
Soma entry qualification zao kwanza ndo uje na ujinga wako
web:Saint Augustine University of Tanzania
Kwan watu kama nyinyi mnatumia kamasi kufikiria
Binafsi graduates wa saut sion tatizo lao,ila wale wa tumaini ndio vilaza balaa.
Chuo hakina ku fail...wala disko
Chuo hakina ku fail...wala disko
Acha uboya,nenda Saut kaulize wangapi wana discontinue,wewe uliyesoma the best university in Tanzania umeisaidia nini Tanzania?