Mchochezi
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 10,962
- 7,830
- Thread starter
- #41
Unakuta kozi kama sheria(LL,B) SAUT inachukua mpaka iii.17 jamani huu ni udhalilishaji wa taaluma makini ya sheria kwa sababu kozi ya sheria inahitaji watu wenye ufaulu mzuri ! mbaya zaidi unakuta chuo cha SAUT kozi ya sheria kinachukua mpaka waliopata F&S za kingereza hii ni hatari sana
Ushahidi uko wapi?