Chuo Kikuu cha Mt Augustine (SAUT)mwanza, kimewasimamisha masoma kwa 2013/2014 wanafunzi nane wa idara mbalimbali!!
Wamesimamishwa kwa sababu walikamatwa wanadesa,wanamizola au wanatumia an authorised material kwenye paper za semister iliyopita!
Poleni wadau jipangeni mwakani.
Wamesimamishwa kwa sababu walikamatwa wanadesa,wanamizola au wanatumia an authorised material kwenye paper za semister iliyopita!
Poleni wadau jipangeni mwakani.