Chuo Kikuu cha Mt Augustine (Saut)mwanza, kimewasimamisha masoma kwa 2013/2014 wanafunzi nane wa idara mbalimbali!!
Wamesimamishwa kwa sababu walikamatwa wanadesa,wanamizola au wanatumia an authorised material kwenye paper za semister iliyopita!!!!
Polen wadau jipangeni mwakani
ni wanasimamishwa au ni wamekosa chuo? Mi kuna jamaa alinambia amekosa chuo kabisa.
Chuo Kikuu cha Mt Augustine (Saut)mwanza, kimewasimamisha masoma kwa 2013/2014 wanafunzi nane wa idara mbalimbali!!
Wamesimamishwa kwa sababu walikamatwa wanadesa,wanamizola au wanatumia an authorised material kwenye paper za semister iliyopita!!!!
Polen wadau jipangeni mwakani
Chuo cha Saut si kina vitisho vya kuwasimamisha masomo watu kwa zaidi ya mwaka mmoja? Unamaanisha nini kusema wajipange mwakani?
wanao kamatwa na cheating wote ni wazembe!
unamaanisha wasiokamatwa wao ni wajanja?
wanao kamatwa na cheating wote ni wazembe!
Nikajua ni wahuni wakisabato....
cc: ntuzu
yaa ,kwa maana hawakuzembea masomo darasani.. wanafanya mtihani kwa akili zao.
Nikajua ni wahuni wakisabato....
cc: ntuzu
Unanichokoza nikianza kuushambulia uroma wako unaanza kulalama!
Unajua maana ya kulalama...? Hakuna mahali mm nimelalama....Sisi tunafukuza wahuni wakisabato nyinyi wahuni wao ndio mnalalama eti twawanyanyasa......
Pathetic fool of all time..
Unajua maana ya kulalama...? Hakuna mahali mm nimelalama....Sisi tunafukuza wahuni wakisabato nyinyi wahuni wao ndio mnalalama eti twawanyanyasa......
Hakika katika hao waliofukuzwa tukichunguza hatutakosa mihuni ya kisabato....Mwaka 2007 tuliwachakaza mkakoma...Leo SAUT wasabato wanafanya mitihani hadi jumamosi
Pathetic fool of all time..
Acha kumtukana mwenzako, ni uji***nga uliopitiliza kumtukana Mkristo mwenzako kisa madhehebu yenu ni tofauti. Mbona Yesu mnayemwamini ni huyo huyo mmoja?