Yani kwa kifupi,wamefukuzwa chuo,naona mnauma maneno. Tena mmojawapo ni clasmet wangu,procurement 2. Jamaa alikuwa analiweza sana hilo somo alilokamatwa kaandika mkononi majibu,Cost Acc. Alianzia cheti,hakuwahi kupata B plus,ni A tu kwnye cost. Sasa,tunajitahdi apunguziwe adhabu,arudie mwaka. Tulitegemea aende akamuone VC,Tumeckia VC nae kajiuzuru. Mkosi 2
Chuo Kikuu cha Mt Augustine (Saut)mwanza, kimewasimamisha masoma kwa 2013/2014 wanafunzi nane wa idara mbalimbali!!
Wamesimamishwa kwa sababu walikamatwa wanadesa,wanamizola au wanatumia an authorised material kwenye paper za semister iliyopita!!!!
Polen wadau jipangeni mwakani
ni wanasimamishwa au ni wamekosa chuo? Mi kuna jamaa alinambia amekosa chuo kabisa.
Mkuu sijawahi ona watu wenye roho ngumu Kama warumi!!!
Kama unadaiwa 500 tu wanakunyima exam no leo ndo watamrudisha chuo?? Hawana huruma hawa jamaa kozi hawana watoto!!!
Ulishawahi ona wapi mtu unamwekea deadline ya kulipa Ada?? Baada ya hapo unalipa with penalty ya laki? TCU mulikeni hiki chuo!!
Maana nimetoka kumlipia mdogo wangu,yamenikuta!!
Chuo Kikuu cha Mt Augustine (SAUT)mwanza, kimewasimamisha masoma kwa 2013/2014 wanafunzi nane wa idara mbalimbali!!
Wamesimamishwa kwa sababu walikamatwa wanadesa,wanamizola au wanatumia an authorised material kwenye paper za semister iliyopita!
Poleni wadau jipangeni mwakani.
huyo jamaa yenu ni cheater mzoefu,Hizo A A zote anazipataga kwa njia hiyo.za mwizi 40.so atimae amedakwa na atakiwi onewa huruma.Seminary nilosoma mimi,Maua ukiwa form one kulikuwa na mwalimu specialiast wa kukamata watazamiaji au wenye kuingia na majibu kwenye test/mitihani ukikamatwa unafukuzwa shule akuna mjadala.Huyu jamaa awezi kuwa na akili alafu akamatwe na vijikaratasi vya majibu....huyo ni mburura kilaza a.k,a KihiyoYani kwa kifupi,wamefukuzwa chuo,naona mnauma maneno. Tena mmojawapo ni clasmet wangu,procurement 2. Jamaa alikuwa analiweza sana hilo somo alilokamatwa kaandika mkononi majibu,Cost Acc. Alianzia cheti,hakuwahi kupata B plus,ni A tu kwnye cost. Sasa,tunajitahdi apunguziwe adhabu,arudie mwaka. Tulitegemea aende akamuone VC,Tumeckia VC nae kajiuzuru. Mkosi 2
Mkuu sijawahi ona watu wenye roho ngumu Kama warumi!!!
Kama unadaiwa 500 tu wanakunyima exam no leo ndo watamrudisha chuo?? Hawana huruma hawa jamaa kozi hawana watoto!!!
Ulishawahi ona wapi mtu unamwekea deadline ya kulipa Ada?? Baada ya hapo unalipa with penalty ya laki? TCU mulikeni hiki chuo!!
Maana nimetoka kumlipia mdogo wangu,yamenikuta!!
Chuo Kikuu cha Mt Augustine (SAUT)mwanza, kimewasimamisha masoma kwa 2013/2014 wanafunzi nane wa idara mbalimbali!!
Wamesimamishwa kwa sababu walikamatwa wanadesa,wanamizola au wanatumia an authorised material kwenye paper za semister iliyopita!
Poleni wadau jipangeni mwakani.
ni kweli hawana huruma hata kidogo
Kama Mtu Mzima Kama Wewe Leo Unataka Tasnia Ya Elimu Iwe na Huruma Kwa Wanafunzi Wenye Utovu wa Nidhamu tena wa Kuibia ktk Mitihani basi Sina Shaka Kuwa Hakika Sasa Elimu Ya Tanzania Ipo ktk Shimo La TEWA. Nimekudharau Sana Mwana JF Mwenzangu Na Nina Mashaka Sana Na Uwezo Wako wa Kufikiri na Hata Kama Utakuwa Umesoma basi Kwa Upuuzi Uliouandika Nina Uhakika Ulikuwa UNA DESA Sana. Hivi ktk Elimu Huwa Kuna Huruma????? Kwahiyo Una Maanisha Kwamba Mwanafunzi Akikutwa na Nyenzo Asamehewe Akienda Kinyume Na Taratibu Za Chuo Pia Asamehewe???? Hivi Wewe Una Akili Sawa Sawa????? Huruma ktk Elimu Kwa Ujinga Wa Wanafunzi Wenyewe???? Yaani Umenipandisha Hasira Zangu Za Kizanaki na Nimechukia Kupita Kiasi na Na Log Out Kabisaaaaa.........:shocked:
hamsomi sheria za chuo ndugu zangu? hakuna chuo kitakachokulea kama utakamatwa na ushaid umeibia kwenye UE, hiyo ni sheria na waondoke kwa amani kabisa. ikumbukwe kwamba, warumi na waarabu siyo waliotunga sheria hiyo, tuache kuzunguka, tuangalie sheria zinasemaje.
kutegemea wizi ndo kunaendelea kuzalisha wataalamu wabovu nchini na nadhan hata hawa CCM wanaoiba kura walianza kuiba majibu ya mitihani.
NB: Neno lako la warumi limekaa kidini zaidi, tuache udini, hautatujenga, unapoona chuo hukiwezi, basi usisome hapo, nchi yetu ina vyuo vingi. by the way, watu mnaosema SAUT ni ngumu, tafuten mashahidi waliomaliza SUA miaka ya 2008 enzi za Prof MLAMBITI na yellow book yake ndo mtajua maana ya ugumu wa chuo.
ACHENI UVIVU, VINGINEVYO MTAINGIA NA NONDO NA MTAFUKUZWA TU.
Mungu ibariki TANGANYIKA.
hamsomi sheria za chuo ndugu zangu? hakuna chuo kitakachokulea kama utakamatwa na ushaid umeibia kwenye UE, hiyo ni sheria na waondoke kwa amani kabisa. ikumbukwe kwamba, warumi na waarabu siyo waliotunga sheria hiyo, tuache kuzunguka, tuangalie sheria zinasemaje.
kutegemea wizi ndo kunaendelea kuzalisha wataalamu wabovu nchini na nadhan hata hawa CCM wanaoiba kura walianza kuiba majibu ya mitihani.
NB: Neno lako la warumi limekaa kidini zaidi, tuache udini, hautatujenga, unapoona chuo hukiwezi, basi usisome hapo, nchi yetu ina vyuo vingi. by the way, watu mnaosema SAUT ni ngumu, tafuten mashahidi waliomaliza SUA miaka ya 2008 enzi za Prof MLAMBITI na yellow book yake ndo mtajua maana ya ugumu wa chuo.
ACHENI UVIVU, VINGINEVYO MTAINGIA NA NONDO NA MTAFUKUZWA TU.
Mungu ibariki TANGANYIKA.
Kuibia mtihan nikosa la jinai na adhabu yake ni kufukuzwa chuo na kufungiwa masomo miaka 5. Achen siasa kile chuo kizur sana kinatenda ipasavyo hata kama ungekuwa ifm au udsm hata chuo chochote wangefukuzwa tu ndo sheria nyie mnataka ubabaishaji. Afu suala la ada nan alokwambia chuon kuna bagain ya ada hamna shukuran kunachuogan cha private kinalipa ada ndogo kama saut au mnaongea t.mnajua ada ya arusha university ilivyokubwa na michango mingne ya ziada na maxngra magum ya kusomea. Na hakunachuo kinachoruhusu kudanya mtihan kama hujamaliza ada hata 100 labda vya serikali.achen kuingia na vbut serious in studying.
Nina uzoefu wa vyuo vikuu saba (vingine nikiwa nasoma, na vingine nikiwa nafundisha). Vyote hivyo adhabu ya kuchakachua kwenye mtihani ni kukatishwa masomo.
Shukuruni kuwa na chuo kizuri kama SAUT. Huyo anayesema hawana huruma "kwa sababu hawana watoto" nimwambie tu kwamba "shukrani ya punda ni mateke".
Forgive them, for they know not what they say.