johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wakuu wa nchi huwekwa madarakani na Mungu wa mbinguni na ndio sababu Huapa kwa kutumia Vitabu Vitakatifu.
Ukitegemea waganga kama Pakipande au Mandondo Ikulu utaendelea kuisikia tu hadi uzeeni na mkongojo.
Sauti inayomwambia Rais Samia akamilishe Miradi iliyoanzishwa na mtangulizi wake hayati Magufuli ni Sauti ya Mungu wa mbinguni aliyeibua Fikra Hizo " Wakati" wa mtumishi wake Magufuli.
Rais Samia unayoisikia ni Sauti ya kinabii
"Lisha Kondoo Zangu" Yohana 21:15-17
Ramadan kareem!
Ukitegemea waganga kama Pakipande au Mandondo Ikulu utaendelea kuisikia tu hadi uzeeni na mkongojo.
Sauti inayomwambia Rais Samia akamilishe Miradi iliyoanzishwa na mtangulizi wake hayati Magufuli ni Sauti ya Mungu wa mbinguni aliyeibua Fikra Hizo " Wakati" wa mtumishi wake Magufuli.
Rais Samia unayoisikia ni Sauti ya kinabii
"Lisha Kondoo Zangu" Yohana 21:15-17
Ramadan kareem!