Sauti kutoka Kaburini - Ni Jambo la Kijinga Kutegemea Mikopo Kujiletea Maendeleo...

Mimi ushauri wangu kwa serikali kuongeza wigo wa walipa kodi tu, wasahau mambo yao ya azimio la Arusha, sijui ujamaa
 
Vyovyote iwavyo, kukopa trillioni 10 ndani ya miezi 9 kwa ajili ya madawati tena bila idhini ya bunge ni jambo lisilokubalika, na hili ni lazima liondoke na mtu!

Wapi imeandikwa zimekopwa 10 Trillion na ni kwaajili ya madawati. Mkopo uliokopwa ni 1.3T kwaajili ya madarasa 15000 na tumeyaona
 
Mimi nimesikitika sana baada ya kumsikia Rais akisema jana kwamba Waziri wa fedha kamshauri yeye (Rais) kwamba sehemu ya mkopo itumike kulipia mikopo ambayo tayari imemature.

Hapo inaonesha kwamba kama Taifa tumekwama hatuna option nyingine.

Mzee wako akikopa mikopo ya muda mfupi tena ya kibiashara alikuwa anawaza nini? Ndo madeni yake hayo tunapambana kuyalipa
 

Leta source ya taarifa yako
 
Wakati Magufuli anakopa , walikaa kimya na jamaa alikuwa anakopa Mikopo ya kibiashara


..katika kukopa Magufuli alikuwa pamoja na Samia, Majaliwa, Dr.Mpango,...serikali nzima kwa ujumla.

..Na walikuwa wanadanganya wananchi kuwa miradi inatekelezwa kwa fedha za ndani. Kwamba hadaiwi mtu.

..Wanatakiwa waeleze walikopa wapi, kwa ajili ya nini, na kwa masharti gani.
 
Ni mwezi upi serikal imekusanya bil100 kwa tozo? Kila mwezi inapatikan chin ya 50 wee hiyo 100 umeipata wapi mbumbumbu wew
 
Hatukatai taifa kukopa lkn watu wasione wametukanwa wakitahadharishwa kuhusu mikopo.
Tatizo viongoz wetu wanafiki mbona hayyat akutazalishwa kam ana lengo jema hapo inaanzishwa vita ya kisiri siri
 
Wapi imeandikwa zimekopwa 10 Trillion na ni kwaajili ya madawati. Mkopo uliokopwa ni 1.3T kwaajili ya madarasa 15000 na tumeyaona
Pesa iliyokopwa jumla ni Trillion 10 ndani ya miezi 9. Kuna Trillion 2 pesa za Covid19 zimeenda kwenye madarasa na madawati, pia kuna hizo dollar bilioni 3 ambazo ni shs.Trillion 8, zimeenda kwenye madarasa, madawati na Zingine Zanzibar. Na kuna bilioni 100 tozo za miamala ya kila mwezi tunakatwa ambazo pia ni za madarasa, madawati na Zahanati, sasa piga hesabu wewe mwenyewe.
 
Ndugai anashabihiana na msimamo wa Azimio la Arusha
Tukope kwenye uhitaji na fedha zisimamiwe zitumike ipasavyo palipo tegemewa zifanye kazi husika
Pasiwe na upigaji
Viongozi waache unafiki wa kumshabikia rais hata kama anatupeleka kubaya
 
Sukuma gang unatapatapa.

Na bado utatapatapa sana.
Huu ujinga wa gang zenu,hivi munadhani serkqli ikivulunda watakao athirika na sukuma pekee au.
Kwenye fact tuseme ukweli.
 
Zamani nilikuwa nanunua gazeti sababu ya maandiko yako mwanakijiji,siku hizi hata haya unayoweka bure jamii forum nashindwa kusoma.
 
Mzee Mwanakijiji naona ubakie msomaji makala za wengine tu siku hizi. Huna mvuto tena. Angalia mataifa yanayoongoza kukopa hapo

View attachment 2069918
nafikiri unaangalia namba kuelewamaana yake. Nchi kama Marekani na nyingine zote za Advanced economies, hazikopi kwa kutafuta mkopeshaji umombe akukopeshe kama tanzania tunavyofanya, wao wanauza governement bonds kwa mtu yeyote, hata wewe unaweza kuzinunua. katika mkopo wa namna hiyo, wauzaji wa hizo bonds ndio wanoweka masharti yake. Tanzania inakopa kwa kwenda kuomba kwenye taasisi za fedha na serikali za nje, na hivyo kukubali masharti ya watoaji mkopo huo. Nakumbuka miaka ya nyuma kidogo rwanda ilikuwa inauza governement bods kwenye soko la Ulaya, ila sijui kama walifanikiwa. Government bonds ndio mkopo mzuri, kwani serikali haiwezi kuwa mtumwa wa mkopeshaji
 
Wapi imeandikwa zimekopwa 10 Trillion na ni kwaajili ya madawati. Mkopo uliokopwa ni 1.3T kwaajili ya madarasa 15000 na tumeyaona
Kuna trillion 2 zilikopwa kwa ajili ya Covid19, zilienda kwenye madarasa na madawati, pia kuna dollar bilion 3 ambazo ni trillion 8, zimeenda kwenye madarasa, madawati na zingine zimeenda Zanzibar. Pia kuna tozo za miamala tunakatwa bilion 100 kila mwezi kwa ajili ya madarasa, madawati na Zahanati. Piga hesabu wewe mwenyewe
 
Ni mwezi upi serikal imekusanya bil100 kwa tozo? Kila mwezi inapatikan chin ya 50 wee hiyo 100 umeipata wapi mbumbumbu wew
Walitangaza ya mwezi wa 7/8, ya mwezi wa 9 walitangaza wapi? Tozo na kodi za Miamala ni zaidi ya 100bn kwa mwezi, kumbuka kabla ya 50bn za tozo kulikuwa na kodi tayri over 80bn inakusanywa kwenye miamala ya simu
 
Leta source ya taarifa yako
Unataka nikuletee source ya Trillion 2 mkopo wa Covid19? Unataka nikuletee source kwamba wamekopa dollar bilioni 3? Au source kwamba wanakata Tozo na kodi kwenye miamala ya simu 100bn kwa mwezi? Au Source ya kipi?

=================================



 
Vyovyote iwavyo, kukopa trillioni 10 ndani ya miezi 9 kwa ajili ya madawati tena bila idhini ya bunge ni jambo lisilokubalika, na hili ni lazima liondoke na mtu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…