Ubaya wa hii makala ni upi ? Haujaelewa au ni kupinga tuu kwasababu ni azimio la arushaTija itoke wapi anazungumzia habari za azimio la arusha.
Bora hata usisome utajisumbua tu kusoma mashudu yaliyojaa unafki.
Kupita kwa awamu moja kwenda nyingine kunazuia watu wasitoe maoni yao?Hili andiko lingekua na maana kama ungeliandika ndugu, mzalendo,ndugu JPM alivokua madarakani,maana yeye kwa mwaka alikopa wastani wa Trillioni 6.
Otherwise Nawe ni wale wale kama Pengo tu,rais akitoka mwambao munamletea Nongwa
Ukweli gani?Huu ujinga wa gang zenu,hivi munadhani serkqli ikivulunda watakao athirika na sukuma pekee au.
Kwenye fact tuseme ukweli.
Hatugawani nusu kwa nusuRaisi ni Mzanzibari hivyo anakopa tu anajua watakaoumia ni Wabara, maana hata rehani zinazowekwa ni bara japo mikopo tunagawana nusu kwa nusu.
Hujauelewa uandishi wa tafasida wa Mzee Mwanakijiji. Unayachukua maneno kama yalivyo.Rudi juu kabisa ukasome upya,amesema masikini akikopa kapatwa ila tajiri akikopa kapata.kwa maana hiyo huu ujinga ulio andika hapa umejibiwa kabla hujauliza
Zenis eti ni mjinga tu anayetegemea Mkopo, wakati hapo tu wewe mwenyewe una Mkopo wa SONGESHA.Ni mjinga pekee anayeweza kutegemea mikopo kujikwamua . Fanya kazi acha uzembe , dunia haina mjomba
At end of the day kwenye balance sheet zitaonekana kama long term loans and securities. Mkopo ni Mkopo tu tofauti ni method uliyokopeanafikiri unaangalia namba kuelewamaana yake. Nchi kama Marekani na nyingine zote za Advanced economies, hazikopi kwa kutafuta mkopeshaji umombe akukopeshe kama tanzania tunavyofanya...
What is songesha ?Zenis eti ni mjinga tu anayetegemea Mkopo, wakati hapo tu wewe mwenyewe una Mkopo wa SONGESHA.
Kwenye theory ya investment inasema yule anayetumia hela yake kuwekeza ndiye mjinga
Unasikitika Hayati alivyoharibu nchi au unasikitika njia zinazotumika kutuvusha... Hakika Tutaendelea kumshukuru mungu daima.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Kwnn unachangany kingereza na kiswahil kwnn usiandike kingereza chote au kiswahili chote kuliko kuunga unga unatuchoshaWhat is songesha ?
Ukiongelea mikopo ni mjinga pekee atakuelewa. Lakini brain kubwa hatuongei mikopo. We talk cash flow and profit margin.
Wewe utaongelea marejesho na fine zake.
Hebu ona ulivyo tofauti na kwenye kujitambua (akili kubwa)
Any how
Kopa uwe Mtumwa.
Fanya kazi ili uwe huru ( financial freedom) ni mjinga pekee anayeabudu mikopo.