Sauti mbaya ya injini

Nakapanya

JF-Expert Member
Joined
May 22, 2012
Posts
2,096
Reaction score
709
Habari wataalamu,

Kuna jamaa yangu ana verosa, tatizo la gari hii Ni kuwa inatoa mlio mbaya kwenye injini. Ukiwasha kwa mara ya kwanza, let say asubuhi inakuwa na muungurumo mkubwa sana, baada ya injini kupata inapungua lakini bado inakuwa na mlio siyo mzuri.

Wataalamu tunaomba ushauri tumsaidie jamaa yangu
 
Niliwahi kuwa na tatizo kama hilo.

Tatizo lilikuwa ni cooling system.

Nilifanya yafyatayo;

1. Nilitoa cylinderhead gasket
2. Nilimwaga oil nikaweka mpya.
3. Nikaweka water pump na thermostat mpya.
4. Nilishusha silencer.
 
Oil imemwagwa hivi karibuni
 
Carburettor inasababisha Hilo TATIZO Kwa upande Fulani hasa ikianza kuchoka utahitaji kushusha silencer lkn bado Hali inakuwa hivyohivyo....
Hapo haina jinsi zaidi ya kwenda garage tu
 
Niliwahi kuwa na tatizo kama hilo.

Tatizo lilikuwa ni cooling system.

Nilifanya yafyatayo;

1. Nilitoa cylinderhead gasket
2. Nilimwaga oil nikaweka mpya.
3. Nikaweka water pump na thermostat mpya.
4. Nilishusha silencer.
Naonga mkono. Water pump mara nyingi ikizingua ndio ina huo mchezo wa kutoa sauti mbaya. At least pa kuanzia ni kucheki hiyo.
 
Well comment zote ni sawa

Ila anza na vitu ndogo ndogo

Kagua mountigs na exhaust manifold

Kama ipo sawa

Kagua carburetor

Then kama ipo sawa ndo utaenda bomoa ma cylinder head na kadhalika...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…