Nakapanya
JF-Expert Member
- May 22, 2012
- 2,096
- 709
Habari wataalamu,
Kuna jamaa yangu ana verosa, tatizo la gari hii Ni kuwa inatoa mlio mbaya kwenye injini. Ukiwasha kwa mara ya kwanza, let say asubuhi inakuwa na muungurumo mkubwa sana, baada ya injini kupata inapungua lakini bado inakuwa na mlio siyo mzuri.
Wataalamu tunaomba ushauri tumsaidie jamaa yangu
Kuna jamaa yangu ana verosa, tatizo la gari hii Ni kuwa inatoa mlio mbaya kwenye injini. Ukiwasha kwa mara ya kwanza, let say asubuhi inakuwa na muungurumo mkubwa sana, baada ya injini kupata inapungua lakini bado inakuwa na mlio siyo mzuri.
Wataalamu tunaomba ushauri tumsaidie jamaa yangu