MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,113
- 65,124
Duh mkuu ni yupi hana rinda kati yao pale ....Sauti Soul wana kashfa ya ushoga, nadhani ndio inayowamaliza
Mkuu hupatikani aiseeeSauti Sol huwa siwachoki kwenye One and Only na ile wamemshirikisha Ali kiba!.
These guys are underated kwakweli!..
Mkuu nipo sehemu mtandao wa shida sana!..But soon ntarudi mjini.Mkuu hupatikani aiseee
Okay Mkuu..Wasalaam.Mkuu nipo sehemu mtandao wa shida sana!..But soon ntarudi mjini.
Shida ya wakenya ni kuwa they don't promote their own artists but instead they're obsessed with foreign music.
matatu zenyu 24/7 zinapiga riddim za wavuta bangi wa visiwa vya caribbean,what do you expect?.Shida ya wakenya ni kuwa they don't promote their own artists but instead they're obsessed with foreign music.
Naunga mkono. Brothers wanauwezo mzuri sana wa kuimba na kutunga nyimbo nzuri. Lakini sio wakubwa kama sauti na uwezo waoNimekaa nikasema niwasikilize Sauti Sol vizuri,
Nikiri kwa kusema kwamba hawa jamaa uwezo wao siyo wa kawaida lakini hawapati mapokezi yanayowapasa hapa Afrika. Sijui nini kimewakuta ndugu zatu Wakenya siku hizi hamuwapaishi wasaniii wenu kama zamani. Kenya kuna vipaji vingi sana sanaa vikubwa, lakini sijui kwanini havisikiki jamani ??? Mimi napenda Muziki sana na hasa ule wa Kenya ndiyo kabisaa..Lakini wale wasanii wazuri siwasikii mpaka nihangaike saana.
All in All BIG UP sana kwa Sauti Sol.......