Amigoh
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 2,045
- 2,975
Jamaa wanavipaji na wanajituma sana..
Freemason kama inalipa na kajiunge wewe.. Watu wanapofanya kazi kwa bidii mkaleta habari za Freemason ni kukatishana tamaa tu.
Labda kama wewe ni mmoja wao.. Maana haiwezekani kujua hizo code zao kama sio wa kwao!
Freemason kama inalipa na kajiunge wewe.. Watu wanapofanya kazi kwa bidii mkaleta habari za Freemason ni kukatishana tamaa tu.
Labda kama wewe ni mmoja wao.. Maana haiwezekani kujua hizo code zao kama sio wa kwao!