Guys this is too spiritual, Only spiritual people will agree with me. Next time I will with thread "Where does the name Diamond Platinumz" came from.Ila hizi habari za freemason kuna kipindi zilikiki sana yaani hata platnumz walisema tayari kashaingia
hawa manabii wameharibu sana mindset za watu..sana watu wamekua kama mazezetamleta mada bila shaka utakuwa unatumia mda wako mwingi kusikiliza mahubiri ya gwajima na mwamposa.
freemason related stories are an old news. habari inayotrend kwa sasa ni kigogo wa twitter.
duuuh...Guys this is too spiritual, Only spiritual people will agree with me. Next time I will with thread "Where does the name Diamond Platinumz" came from.
Keep in touch with me. There's a lot to come. Umewahi sikia kuwa kuna wachawi wanamiliki ndege au treni? Ndo hilo sasa.Hadi meli kuna watu wanamiliki.Hilo treni umewahi kupanda? Huwa linapitia reli ipi? Kwa hapa bongo vituo vyake ni vipi? Unaweza kutupa orodha ya watu waliowahi kupakia misukule humor? Wakati huo ulikuwa wapi na ukifanya mini?
Mwanasanaa ni lazima kuwa mbunifu na usichanganye sanaa na imani. Msanii anaweza kujipa jina ambalo halisadifu wasifu wake. Vile vile majina ya kazi hupewa na msanii mwenyewe kisanii na sio kwa mlengo huo.
Guys this is too spiritual, Only spiritual people will agree with me. Next time I will come with the thread "Where does the name Diamond Platinumz" came from.hawa manabii wameharibu sana mindset za watu..sana watu wamekua kama mazezeta
Tafuta Pini linaitwa Pombe sigara usikilize Hadi mwisho. Itakufaa zaidi ukicheki videomimi hawa jamaa sijawahi kuwaelewa.
kifupi huwa nashangaa wanapatia wapi umaarufu.
Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
Mwili wangu unaalama za Mungu pekee.Since we were created on his image.Hata alama za kwenye ngozi ya mwili wako ukizichunguza kwa makini huwezi kosa alama ya Freemasons.
Cheki vizuri unipe jibu, usisahau kuangalia makalio na nyuma ya miguu kwa makini
Mason ndio inatawala dunia.... Ila mason wanayoambiwa waswahel ni tofauti kabisa na mason original
Jr[emoji769]
Guys this is too spiritual, Only spiritual people will agree with me. Next time I will with thread "Where does the name Diamond Platinumz" came from.
Tena mshirikina dhaifuPunguza ushirikina wewe
Hapana sio mtazamo sahihiKivipi mkuu au watu wanahisi kila secret society ni illuminats
Ni losers mentalityIla hizi habari za freemason kuna kipindi zilikiki sana yaani hata platnumz walisema tayari kashaingia
Kwa Africa hizi secret societies zipo kweli ukiachana na vilinge vya kupaa usikuHapana sio mtazamo sahihi
Jr[emoji769]
Hapana hizi secret society ni akili kubwa sana sisi huku tuna ushirika, majini na mapepo ndio umetubamba.Kwa Africa hizi secret societies zipo kweli ukiachana na vilinge vya kupaa usiku