Sauti Sol watishia kujitoa Shirikisho la Hakimiliki baada ya kulipwa Tsh. 242,977 za Mirabaha

Sauti Sol watishia kujitoa Shirikisho la Hakimiliki baada ya kulipwa Tsh. 242,977 za Mirabaha

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanapenda mnooo.
Huku wakijifanya hawataki
Kuna mtu anawaponda sana mashg
Ila kutwa akikaa anasikiliza miziki ya sauti,sasa namuambia we hujuwi kama hao upinde

Ova
 
Capture-og_image.webp

Kundi la Muziki la Sauti Sol kutoka Kenya limetangaza nia ya kujitoa kwenye Shirikisho la Hakimiliki (MCSK) kwa maelezo ya kutoridhishwa na ulipaji wa fedha zinatokana na matumizi ya kazi zao za sanaa

Sauti Sol wamehoji "Kwa nini MCSK huwa wanafanya kana kwamba wanawafanyia hisani Wanamuziki wa Kenya? Mrahaba unaokusanywa sio mapato yao bali yetu. Tutajitoa MCSK kwasababu haiwajibiki kwa faida yetu, na Msanii yeyote anayetaka kujitoa muda ni sasa.

Aprili 15, 2023, MCSK iligawa Mirabaha kwa Wanamuziki wa Kenya tukio ambalo limezua malalamiko makubwa kutoka kwa Wsanii na Wadau wa Muziki wakidai hakuna uhalisia na Uwazi wa Fedha zinazolipwa.

==============

Celebrated Kenyan music band Sauti Sol has vowed to withdraw their membership from the Music Copyright Society of Kenya (MCSK) citing displeasure over the payment of royalties.

The group took to their social media on Tuesday, calling out MCSK over poor payment of music royalties to artistes.

"Why does MCSK always act like they are doing Kenyan musicians a favour? The royalties collected are NOT their direct income but yours. They are working for you!" said Sauti Sol.

The group went ahead to call on other disgruntled artists to stand against the Music Copyright Society of Kenya.

"We are going to withdraw our membership from society as it does not serve our best interests entirely... All disgruntled members who wish to do the same, the time is now! Please reach out. Take back your power!" wrote the all-boy band.

On Saturday, April 15, MCSK distributed royalties owed to Kenyan musicians with Sauti Sol's Bien Aime taking to his Instagram account to apparently mock MCSK for sending him only Ksh.14,000.

He wondered what other upcoming artists would receive as royalties from MCSK.

CITIZEN DIGITAL
Hakimiliki ni janga kubwa Afrila Mashariki.

Serikali zetu wanaiba fedha za wasanii kupitia maafisa makusanyo
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanapenda mnooo.
Huku wakijifanya hawataki
Ni ushamba tu, sasa anaprove kwa nani kua yeye sio upinde, no need to say it kila mda kama wewe sio upinde kweli.

Nawaonaga wanafki tu watu kama hao.
 
Kuna mtu anawaponda sana mashg
Ila kutwa akikaa anasikiliza miziki ya sauti,sasa namuambia we hujuwi kama hao upinde

Ova
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mleta mada sema 200,000 za Kenya ambazo ni kama 3,600,000. Ndogo Sana.
 
Back
Top Bottom