George Betram
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 4,672
- 6,272
CHUKI na WIVU wa KIKE ni vitu vibaya sana mkuu..!Huu wimbo mimi nimeusikiliza...siisikii kabisa sauti ya mond bali naisikia sauti ya Harmonize...kiufupi binafsi kwangu ile sio sauti ya mond..ni Hamonize mwenyewe kabisa mkuu...sielewi wewe imekuchanganyia wapi mkuu..?
0404
Wakuu, kwa sasa naona usanii unapitiliza.
Mimi si timu alikiba wala mavi kunuka gani sijui wala chama sina. Nakosoa panapohitajika.
Diamond hapa unachemka, atakayeiskia hii nyimbo atajua direct we ndio unayeimba, sauti yako tayari iko common, it doesnt make sense unapoenda kumtuma huyu dogo mayonaise kutoa video anarukaruka tu kapwaya.
Hapo ukiangalia Dully kafunika mbaya, mmeiga jina INDE MONIE-KANDA BONGOMAN, bado muigane sauti kucheza, mavazi, style na kila kitu.
Bwa'mdogo wa Mbagala jaribu japo kutengeneza muziki wako unaotambulika kimataifa,
mfano mdogo Chameleone.
We unaiga kila kitu, ndio maana yule nani sijui Davido alisema `"he will make you famous". We mwanamuziki unaalikwa matamasha ya kimataifa you dnt even know what to say there.
Kila muziki wako unakuja na kolabo na wanaijeria, mpaka siku hizi wabongo nje tunaitwa kollabo. Bado miziki yako ya zamani its my favourite km muziki gani, nataka kulewa, Kizaizai, Mbagala.
Jitahidi kutunga na uimbe mwenyewe. Kiuhalisia huyo dogo hapo anarukaruka tu kuuza sura na sauti haimkai kabisaaaa.
Kalaghabahoooo
Mi nimeshtuka kidogo niruke kwenye kitiHapo juu kuna mshkaji kasema KOFFI ANAN ni mwanamziki wa Marekani!
Mkuu nikulekebishe kidogo lile jengo hawajakodi mondi ndiyo mmilikiNimelea sana wale wafwasi wa msanii wa sony record
Wanachuki mbili zilizokaa kichwani mwao
1 ni kulinganisha uezo wa mind na msanii wao
2 wote wanaombea dua WCB ife kitu ambacho kwa sasa hakiezekani kwa tathmin iliofanyika WCB ndio studio nzuri yenye ubora kabisa kwa sasa bongo hata jengo walipopangia Lima ubora wa kimataifa kabisa
Poleni sana Sony record
Kiuhalisia kaimba Diamond???..Anamaanisha kuwa sauti anayoimba Harmonize si yake, akiwa na maana kiuhalisia ameimba Diamond ila Harmonize kawekwa kama geresha tu. Isikilize vizuri ina make sense.
Teh teh..Bro unaishi K/koo shimoni nn?Huu wimbo nitausikiliza vizuri usiku kukiwa hakuna kelele nijiridhishe
Dully hawezi kukubali upumbavu km huokuna kutoelewana hapa
nachomaanisha HARMONISE HAJAIMBA HII NYIMBO NI DIAMOND`,
NA duly kapokea msanii toka WCB kufanya nae video mradi chake kimeingia.
Nafkiri kuna dharau hapo,kuna kujivuna,hii nyimbo ilitakiwa iwe ya Duly na Dai,lakini kuna mmoja akaona huyu mwingine hana thamani ya kuwa nae kwenye video.
ndo hapo mayonaise akapewa daraja.
we wakuja tunajua uko ulaya ,kwa lugha iliyopo hapo kwenye caption.
mshauri boss wako kuhusu muziki.km kaishiwa awaambie vijana watunge nyimbo zinazoeleweka wapate tuzo hio ndo maana ya kuwa na lebo.
kuimba sound na kumpa msanii afanye video hakumsaidii chochote,na kafanya hivyo sababu hakutaka video ipiku video yake KIDOGO ma ikaribie.
sasa kubishana na mtu km ww najifikiria mara 20 sijui ulipandaje ndege.halafu hata muda sijui unapata wapi,ila najua uko kwa mama so tulia endelea kupiga kelele mama anatafunwa tako ww unalegeza domo "WCB byeibeeee"
Bhana kama umesikia sauti ya Simba labda mwanzoni..Baada ya hapo nenda kwa Docta upesi no dalili ya maradhi ya sikioWakuu, kwa sasa naona usanii unapitiliza.
Mimi si timu alikiba wala mavi kunuka gani sijui wala chama sina. Nakosoa panapohitajika.
Diamond hapa unachemka, atakayeiskia hii nyimbo atajua direct we ndio unayeimba, sauti yako tayari iko common, it doesnt make sense unapoenda kumtuma huyu dogo mayonaise kutoa video anarukaruka tu kapwaya.
Hapo ukiangalia Dully kafunika mbaya, mmeiga jina INDE MONIE-KANDA BONGOMAN, bado muigane sauti kucheza, mavazi, style na kila kitu.
Bwa'mdogo wa Mbagala jaribu japo kutengeneza muziki wako unaotambulika kimataifa,
mfano mdogo Chameleone.
We unaiga kila kitu, ndio maana yule nani sijui Davido alisema `"he will make you famous". We mwanamuziki unaalikwa matamasha ya kimataifa you dnt even know what to say there.
Kila muziki wako unakuja na kolabo na wanaijeria, mpaka siku hizi wabongo nje tunaitwa kollabo. Bado miziki yako ya zamani its my favourite km muziki gani, nataka kulewa, Kizaizai, Mbagala.
Jitahidi kutunga na uimbe mwenyewe. Kiuhalisia huyo dogo hapo anarukaruka tu kuuza sura na sauti haimkai kabisaaaa.
Kalaghabahoooo
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Teh teh..Bro unaishi K/koo shimoni nn?