babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
- Thread starter
- #61
kuna kutoelewana hapa
nachomaanisha HARMONISE HAJAIMBA HII NYIMBO NI DIAMOND`,
NA duly kapokea msanii toka WCB kufanya nae video mradi chake kimeingia.
Nafkiri kuna dharau hapo,kuna kujivuna,hii nyimbo ilitakiwa iwe ya Duly na Dai,lakini kuna mmoja akaona huyu mwingine hana thamani ya kuwa nae kwenye video.
ndo hapo mayonaise akapewa daraja.
nachomaanisha HARMONISE HAJAIMBA HII NYIMBO NI DIAMOND`,
NA duly kapokea msanii toka WCB kufanya nae video mradi chake kimeingia.
Nafkiri kuna dharau hapo,kuna kujivuna,hii nyimbo ilitakiwa iwe ya Duly na Dai,lakini kuna mmoja akaona huyu mwingine hana thamani ya kuwa nae kwenye video.
ndo hapo mayonaise akapewa daraja.