Lamchina
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 240
- 120
Yaonekana kwa kiasi kikubwa makundi mbalimbali waliochaguliwa na JK haisikiki kabisa. Hii ni kutokana na dominance na uzoefu wa u-ccm na kambi upinzani. Sasa maoni ya watasema lini kama wao wenyewe wanajiona minority kwa kukosa uzoefu wa mambo ya kibunge?