100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 4,766
- 16,191
Jamaa movie za kivita alikua anajua sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Jamaa akiwa amelewa rubisi na pombe ya mtama ndipo kijana..."sometime Lufufu anaongeza mikogo,anakwambia,"wakati Jacki Chain akiwa kwenye mizunguko yake mitaa ya Tandale,ghafla wakatokea vibaka",,,!
Zahanati ya kijiji si kigeni, walishafanya kina muhogo mchungu kwenye fukuto miaka 20+ nyuma.Wapo baadhi wameanza kuonesha uthubutu wa kufanya movies kali mfano tamthilia kama "zahanati ya kijiji" iko vizuri. Lakini pia kuna hii movie ya Bunji naona pia imeanza vizuri.
😂😅🤣,,ila huyu jamaa,R.I.P"Jamaa akiwa amelewa rubisi na pombe ya mtama ndipo kijana..."
Sasa hio rubisi huko US na Europe miaka hio kweli,😂
Ni maeneo gani huyo bwana alikuwa anafanyia kazi zake?Dj mack utasikia "wanakujaaaa,naweka mic chini angalia mkono"
Ila rufufu was next to none.nilibahatika kufika kwenye chumba alichokuwa anatolea production,aisee it was amaizing
Watoto wa marehemu wakimbilie mapema cosota na basata kisha wafungue case labda kama kulikuwa na makubaliano!Ki ukweli sauti ya Mkandara Lufufu ilikuwa na upekee fulani hivi ambao haupati kwa watu wengi.
Ila hivi juzi nimeona tangazo la ngumi kati ya Karim Mandonga na Mada Maugo huku kuna jamaa kaingiza sauti kama ya Lufufu akisimulia namna mabondia hao wanavyotafutana msituni.
Sasa mimi nilikuwa naona ili kumuenzi shujaa Mkandara Lufufu (ni shujaa kwa sababu ndie mwanzilishi wa utaratibu wa kuingiza sauti na kutafsiri movies kutoka kwenye lugha za kigeni kuja kwenye kiswahili)
Huyo kijana apewe kuingiza sauti ya Lufufu kwenye movie itakayokuwa imeigizwa kuzingatia maudhui ya kitanzania hasa ikiwa ya kilugha kama kichaga, kihehe, au kisukuma ikionesha harakati za mashujaa wa kitanzania enzi za ukoloni walivyo jaribu kupambana na ukoloni.
Hapa movie inaweza kumhusu Shujaa kama Mangi Meri, Chief Mkwawa, au Mirambo n.k Movie ikiwa kwa mfano ya chief mkwawa kwa lugha ya kihehe na kibena, kijana huyo (Lufufu) itasikika sauti yake kwa kiswahili huku subtitles zikiwa kwa kiingereza.
Au movies nyingine inaweza kuwa pure action huku sauti ya Lufufu (kijana huyo) ikipita kwa maelezo.
Nadhani kwa kufanya hivi tutakuwa tumemuenzi sana Lufufu huku familia yake nayo ikifurahia matunda ya kazi ya baba yao.
Masokolindo wa kwenye deadly play.. Nilipokua mdogo Nilijua ndio jina lake. KumbeDah huyu mwamba kweli pengo lake halitakuja kuzibwa na mtu yeyote, nakumbuka kwenye tafsiri zake za movie alikua anawapachika wahusika majina ya kihaya.
Kuna movie moja nilicheki kitambo Ila nishasahau jina lake hapo movie ikiwa Inanza lufufu mkandala namnukuu akisema. """Wapenzi watazamaji ndugu zangu wapendwa mkandala lufufu video tech iliyopo mbagala dar es salaam inawaletea picha Kali kabisa ambapo jambazi sugu kacheza katika picha hii akiwa anaitwa (KALEKEZI). Duh sema kweli nilicheka sana afu jambazi nilizungu.
Bunji hujaitazama unaiwekaje level ya zahanai ya kijiji? anyway Bunji wameanza vizuri sanaZahanati ya kijiji si kigeni, walishafanya kina muhogo mchungu kwenye fukuto miaka 20+ nyuma.
Kuna tamthilia fulani waliigizia tanga sijui ni bagamoyo ile, ilikuwa nzuri, hivyo zahanati si ajabu.
Hiyo bunji sijaitizama lakini itakuwa level za zahanati ya kijiji.
Mzee bongo hapa bado sana kutoa kitu kikaitwa "MOVIE KALI” au "BONGE MOJA LA MOVIE"
Huyu jamaa huwa ni talented sana, basi tu management yake inafeliMkude simba huyo, ukipenda muite kitale.
Nimeiona first time Bunji. Ni kali mno. Ubunifu mkubwa na production nzuri sana.Bunji hujaitazama unaiwekaje level ya zahanai ya kijiji? anyway Bunji wameanza vizuri sana
Sanaa. Ndiye alipaswa kuvaa viatu vya Mzee wetu Mukandala kiukamilifu na kua bonge la tajiri. Sijui anakwama wapi?Huyu jamaa huwa ni talented sana, basi tu management yake inafeli
Yale mazingira pia 😂😅🤣Nimeiona first time Bunji. Ni kali mno. Ubunifu mkubwa na production nzuri sana.
Mkuu umenikumbusha Tena lufufu alikuwa akimuita MASOKOLINDO MAVI YA KUKU.Masokolindo wa kwenye deadly play.. Nilipokua mdogo Nilijua ndio jina lake. Kumbe
Itakuwa ndio level hizo hizo tu, tasnia yetu ya maigizo haijaemda hatua kubwa kuzidi hapo kina zahanati ya kijiji, tofauti kubwa huwa ni UBORA WA STORY tu, kwingineko wanaachana kwa asilimia ndooogo sana.Bunji hujaitazama unaiwekaje level ya zahanai ya kijiji? anyway Bunji wameanza vizuri sana
Kifungo/jela/gereza/mahabusuHivi kanyampasila ni aina ya eneo gani,
Nahisi watu hawajaona over talent aliyonayo huyo kitale. Muone hata sauti anayotumia kwenye kuigiza bwankilaSanaa. Ndiye alipaswa kuvaa viatu vya Mzee wetu Mukandala kiukamilifu na kua bonge la tajiri. Sijui anakwama wapi?
Awe bonge la tajiri kwa kutafsiri movie, acheni utani basi.Sanaa. Ndiye alipaswa kuvaa viatu vya Mzee wetu Mukandala kiukamilifu na kua bonge la tajiri. Sijui anakwama wapi?
😂😂Alikuwa hatari na nusuHajamfikia Captain Derick Gasper Mkandala Lufufu
Mpaka sasa sijaona wa kumfunika Mkandala
"Wapeeenzi watazamaji ndugu zanguni wapendwa, Mkandala Lufufu Video Tech iliyopo Mbagala Makuka jijini Daslaam, kwa mara nyingine tena inakuletea picha kali, movie ni The Hard Way the Only Way."
Oyaa huyu mwamba alikuwa anajua aisee