Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Kama ilivyo ada katika uchaguzi mbalimbali wa vyuo vikuu vya hapa nchini umetawaliwa na tofauti za kisiasa, yaani CCM na CHADEMA. Katika chuo cha Tumaini ya mkoani Iringa Jana jumamosi kulikua na uchaguzi wa vuta nikuvute ambapo wagombea walikua wengi ila ushindani ulirindima kati ya kijana mmoja mwanachama wa CCM na mwingine mwanachama wa CHADEMA ambapo ikabadili sura na kuufanya uchaguzi uwe kati ya vyama ivi viwili maarufu hapa nchini.
Kazi ilianza tangu jumatatu ambapo kijana wa CCM alionyesha kuwa na nguvu kubwa kutokana na support kutoka utawala wa chuo na pia alipigwa tafu kiuchumi na kada maarurufu wa CCM wa Iringa almaarufu kama ASAS. Kama kawaida vijana wenye kupenda mabadiliko wakakusanyika, wakautangaza ukweli ukaeleweka kijana wa CHADEMA kutoka faculty ya sheria kwa jina Method Kagoma akaibuka kidedea kwa nguvu ya umma. Ivyo basi Tumaini Iringa ina Rais mwanachama wa CHADEMA.
Peoples Power!!!!!!!!!!
Kazi ilianza tangu jumatatu ambapo kijana wa CCM alionyesha kuwa na nguvu kubwa kutokana na support kutoka utawala wa chuo na pia alipigwa tafu kiuchumi na kada maarurufu wa CCM wa Iringa almaarufu kama ASAS. Kama kawaida vijana wenye kupenda mabadiliko wakakusanyika, wakautangaza ukweli ukaeleweka kijana wa CHADEMA kutoka faculty ya sheria kwa jina Method Kagoma akaibuka kidedea kwa nguvu ya umma. Ivyo basi Tumaini Iringa ina Rais mwanachama wa CHADEMA.
Peoples Power!!!!!!!!!!