Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 6,067
- 10,938
CCM must goMwakilishi sauti ya watanzania (club house) - Kaswahili Juma Kaswahili, amesema kuwa wanamuunga mkono Tundu Lissu tokea siku ya kwanza alipochaguliwa kuwa mwenyekiti wa CHADEMA, hivyo wanaangalia utaratibu jinsi wanavyoweza kuchanga Tsh Bilioni 1 ili zimsaidie Lissu katika kukijenga Chama nchini.
View attachment 3237760
Ahahahahaha! Bilioni kumi muiondoe CCM madarakani au mnataka kumuondoa Mwenyekiti wa Mtaa? Ahahahahaha!!Hata Bil 10 tutachanga tu kwa ajili ya kulikomboa taifa letu dhidi ya mkoloni mweusi CCM
Ibilisi CCM lazima afeHata Bil 10 tutachanga tu kwa ajili ya kulikomboa taifa letu dhidi ya mkoloni mweusi CCM
20252030 CCM MUST GO!
Tulieni nyie UWTDiaspora wote michango yao hawafikishi mil 100...
Hivi lile gari walifikia wap? zilipigwa kampeni mjomba hakufikisha mil 150.. leo wanatafuta B ya ndoto ...
BTW kwa remittance wanazotuma nyumbani wao ndio lowest East Africa.
Ni Jambo jemaMwakilishi sauti ya watanzania (club house) - Kaswahili Juma Kaswahili, amesema kuwa wanamuunga mkono Tundu Lissu tokea siku ya kwanza alipochaguliwa kuwa mwenyekiti wa CHADEMA, hivyo wanaangalia utaratibu jinsi wanavyoweza kuchanga Tsh Bilioni 1 ili zimsaidie Lissu katika kukijenga Chama nchini.
View attachment 3237760
Naona mmeamua2030 CCM MUST GO!
Tena diaspora wenyewe sasa hivi wanaishi vyooni kuwakwepa ICE.Sio muda mzuri kuwaomba michango.Diaspora wote michango yao hawafikishi mil 100...
Hivi lile gari walifikia wap? zilipigwa kampeni mjomba hakufikisha mil 150.. leo wanatafuta B ya ndoto ...
BTW kwa remittance wanazotuma nyumbani wao ndio lowest East Africa.
Pambaneni Dr.Slaa apate dhamana..Mwakilishi sauti ya watanzania (club house) - Kaswahili Juma Kaswahili, amesema kuwa wanamuunga mkono Tundu Lissu tokea siku ya kwanza alipochaguliwa kuwa mwenyekiti wa CHADEMA, hivyo wanaangalia utaratibu jinsi wanavyoweza kuchanga Tsh Bilioni 1 ili zimsaidie Lissu katika kukijenga Chama nchini.
View attachment 3237760
Hawa ndugu wana ndoto mbaya sana ambazo ni za mdomoni tu!!Hawa jamaa huko nje wana maisha magumu lakini wanamdanganya mwenzao na kumfariji faraja za hovyo.Washindwe milioni 30 halafu waweze bilion!!Labda kwa miujizaDiaspora wote michango yao hawafikishi mil 100...
Hivi lile gari walifikia wap? zilipigwa kampeni mjomba hakufikisha mil 150.. leo wanatafuta B ya ndoto ...
BTW kwa remittance wanazotuma nyumbani wao ndio lowest East Africa.
Kutoa ni moyoTena diaspora wenyewe sasa hivi wanaishi vyooni kuwakwepa ICE.Sio muda mzuri kuwaomba michango.
Majinga yanayojitafutia umaarufu wa kipuuziMwakilishi sauti ya watanzania (club house) - Kaswahili Juma Kaswahili, amesema kuwa wanamuunga mkono Tundu Lissu tokea siku ya kwanza alipochaguliwa kuwa mwenyekiti wa CHADEMA, hivyo wanaangalia utaratibu jinsi wanavyoweza kuchanga Tsh Bilioni 1 ili zimsaidie Lissu katika kukijenga Chama nchini.
View attachment 3237760