Pre GE2025 Sauti ya Watanzania(ClubHouse): Tuna mkakati wa kuchanga Tsh 1B kumsaidia Lissu na CHADEMA kuupata ukombozi unaohitajika nchini

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ajabu unajiita Dk akili😏
 
Diaspora wote michango yao hawafikishi mil 100...

Hivi lile gari walifikia wap? zilipigwa kampeni mjomba hakufikisha mil 150.. leo wanatafuta B ya ndoto ...

BTW kwa remittance wanazotuma nyumbani wao ndio lowest East Africa.
Binafsi nitachanga mil 2 mkuu usichukulie poa.
 
Bilioni 1 ni hela ndogo sana ikichangishwa nchi nzima.

Kama wapigaji waitengeneza kwa mwezi basi watanzania wanojitambua waweza kujitolea na ikazidi.
 
Ungekuwa na akili ungekuwa zwazwa wa kulamba makalio na hatimaye kujiita chawa!!?
Mwenye akili anakula kwa jasho, kwa kupambana na sio kwa hela za bure za kusifia sifia binadamu mwenzako.
Kuna ubaya nikiramba makalio na k ya bi mkubwa wako?
 
Angalia aliposema watachangisha bilioni ona waliopiga makofi kiduchu wengine wamebaki wanamkodolea macho tu kuwa what?

Halafu huyo katumwa na Lema.Kwa nini aseme wakae na Lema wajadili badala ya kutaka uongozi wa Chadema wakae nao wajadili

Lema anataka akalie fuko la pesa ndcho cheo hasa alikuwa anakiwinda ameona hateuliwi anajiteua mwenyewe kupitia huyo kibaraka wake anayeongea
 
Ulisha shirikiri mazungumzo ya CH sauti ya watanzania hata mara moja?
 
Binafsi nitachanga mil 2 mkuu usichukulie poa.
Point ni kwamba hakuna chama cha siasa kinajengwa na kundi dogo kiasi hicho ..

Diaspora kuchanga B kwa ajil ya CDM ni mission impossible
 
Point ni kwamba hakuna chama cha siasa kinajengwa na kundi dogo kiasi hicho ..

Diaspora kuchanga B kwa ajil ya CDM ni mission impossible
Diaspora wanaijua hela hasa

Hata Diaspora mwenzao akifa huwa tunachangishwa tulioko Tanzania ili asafirishwe

Diaspora wachange bilioni moja haiwezekani kabisaaaa
 

Tuna mkakati wa kuchanga Tsh 1B kumsaidia Lissu // Why kumsaidia Lissu?​

TAL alisema michango akiingia madarakani itakuwa inaenda moja kwa moja kwenye account ya chama ,inakuwaje clubhouse/diaspora waseme wanamchangia Lissu? Hiyo michango inabidi iende direct kwenye accounts za chama na si accounts binafsi kama TAL alivyosisitiza kipindi cha kampeni.
 
Kwa hoja hizi kama huna akili ni huna kabsa na kama unazo bas ni nyingi sana.
mpaka unaleta hoja kinzani ili wadau wamvue nguo wasira!
Eti hana wa kujenga nae hoja!
 
Huu ni ujinga wa kuamini ujinga.Hakuna pesa zozote za Chama zinatolewa bila auditing na kujua zinatumika vipi.Unajua bei ya Yutong mbili au ndio hadithi za kijiweni.
Hakuna pesa zozote za kampeni ni uzushi tu na kujipa umuhimu wa kijinga.
Watu wanapiga hela wewe unaambulia 7000 pamoja na kusifia + kuabudu kote unakofanya.
Pole sana.
 
Watu wanapiga hela wewe unaambulia 7000 pamoja na kusifia + kuabudu kote unakofanya.
Pole sana.
Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana.Kama wewe unaendeshwa na njaa sio wote tuko hivyo.Ndio maana unatoa mfano usio na uhalisia kwani ndio matamanio yako.Mimi najitegemea na sifanyi kazi ya Chama na nina hali nzuri sana kiuchumi.
Hiyo hainizuii kutoa mawazo yangu na kusifia kazi nzuri inayofanyika.
 
Nini' billion?!!!!! Changieni trillion 10000 na Bado mtamuona mama Samia, The Mother of Modern Tanzania, akiendelea kuwaburuza tu kule juu.
 
Endelea kuwa chawa.
 
Diaspora wote michango yao hawafikishi mil 100...

Hivi lile gari walifikia wap? zilipigwa kampeni mjomba hakufikisha mil 150.. leo wanatafuta B ya ndoto ...

BTW kwa remittance wanazotuma nyumbani wao ndio lowest East Africa.
Hata milioni mia hazikufika. Na taarifa haitolewi.
Hawa walitakiwa kuchanga kiasi cha kutosha kwanza kabla ya kutangaza nia. Mimi binafsi ningependa wafanikiwe lakini sina imani nao.

Amandla...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…