Sauti ya Wema Sepetu iliyosambaa akiwatoa hofu Mashabiki

kuimba ama kupiga marimba vyote utasikika pia
bei ya lipstick yake tu unalipia nyumba Kimara mwisho mwaka mzima halafu unajibiwa wenzio wanafanya biashara! kumbe ndio biashara yenyewe. Ivumayo haidumu.
 
Duhhhh noma sana WEMA SEPETU.....L00K at ur fellow gf,bff,switgals like faraja kotta,Jackline ntanYabaliwe,Nuncy Sumari...where did u do wrong my dear...
 

- Angenyamaza ingemsaidia sana na hao wapambe wake wanazidi kumponza tu, ila naona baada ya Rais kuongea leo Instagram imekuwa kimya sana sijui kwa nini maana toka juzi ilikuwa wanasheria juu ya wanasheria leo kimyaa

le Mutuz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…