Sauti yenye thamani kubwa duniani yatunukiwa tuzo na UN

Sauti yenye thamani kubwa duniani yatunukiwa tuzo na UN

Poker

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2016
Posts
5,445
Reaction score
14,828
David Attenborough champion of the earth by UN! Ndio yule mtangazaji maarufu na pendwa duniani ambae inaaminika sauti yake inathamani ya USD dollar billions aliezaliwa huko uingereza mwaka 1926 amepewa tuzo hiyo kutokana na mchango wake katika mabadiliko ya hali ya hewa na dunia asilia na viumbe vyake. Sir David Attenborough anakumbukwa na documentary yake maarufu ya green planet!
20220422_182540.jpg
 
tuwaambie UN wamsikilize aliyetafsiri picha la Yesu kishwahili au tuwaache na ubinafsi wao!!!
 
Back
Top Bottom