Sauti za Gari(Muffler)

Mkuu si ungeanza kwanza kuweka rim gari ipendeze?hiyo misauti haina maana sana sana itakukata stimu siku unahitaji kwenda sehemu isiyohitaji makelele afu lenyewe linawika vibaya
Akichepuka na mke wa mtu na hiyo misauti lazima akamatwe
 
hata mm nlitaka nishauri hivo kwanza...mifla dume bila muonekano mzuri gari itaonekana chombo ya fundi
sawa boss aina shida basi nitafika huko nita change rim au hata wheel cap nitavalisha kwa muda wakati nikisaka pesa za hizo sports rim
 
Kama unataka muonekano wa taa kama hizo nenda pale Auto vision wapo pembeni ya shule ya msingi Mapambano.

Kama ni mdau wa mlio dume kama wa subaru waone Jet Cruza Otaku wapo kijitonyama kuna mdau kakuelekeza namna ya kuwafikia.
 
Kama unataka muonekano wa taa kama hizo nenda pale Auto vision wapo pembeni ya shule ya msingi Mapambano.

Kama ni mdau wa mlio dume kama wa subaru waone Jet Cruza Otaku wapo kijitonyama kuna mdau kakuelekeza namna ya kuwafikia.
asante mkuu kumbe ni hawo wajapan yeah kuna mdau kanielekeza nataka kuwaona, kuhusu taa hizo mkuu hazi nunuliwi ni body inavutwa kwa mbele nimeongea na fundi rangi anafanya hivyo na yeye alikua ajui nikampa ramani kaielewa ila shukurani sanaa
 
Ili utupigie kelele?!
hapana kaka, unajua watu wanashindwa kuelewa sitaki kelele nataka base standard ingia youtube search muffler sounds uone kuna moja inaitwa rumble yani standard ila ukisema nazimua ndo sound ina mkaa mwenywe utapenda ila madereva wengi wateza na subaru wana weka zile za kupiga kelele yani zile sio.
 
Achana na utoto huo......

Huo mtindo wa kufunga madude kwenye bomba la moshi huwa unaipa shida gari kupumua na ni moja ya chanzo cha matitizo kwenye engine ya gari.

Kama haujui tu, hayo madude ni artificial noise maker kwa maana ya kwamba yanaweka ili kuigiza mlio wa sauti ya magari yenye engine zenye power kubwa kama ferrari, Bugatti, Lamborghini na mengineyo.....

Milio ya namna hiyo ambayo sio feki unaweza kuipata katika gari kama Subaru forester (sio zote ila zenye engines zenye turbo tu) ambazo huo mlio huwa unatoka mbele kwenye engine na sio huku kwenye exhaust pipe.....

Sasa kwa kufunga hilo takataka unakuwa hauna tofauti na wadada wao vaa nywele feki za kizungu ili waonekane ni wazungu na kumbe nywele ni feki na sio za asili.

Pia haina tofauti na kuweka sahani za tairi kwenye gari yako ili ionekane ina rim kali na kumbe ni feki, na sote tunajua kuwa rim za ukweli zipo ingawa ni gharama, ila zipo......

So bro, acha kuingia gharama ili kuonyesha how fake you can be....just ridhika na uwezo wako wa kumiliki gari ya engine ndogo, utakapo pata gari ya bei utaweza pata huu mlio ambao utakuwa original kabisa.....
 
Hata gari za kawaida zinafanyiwa modification tena bila ya kuongeza saiz ya muffler ili itoe sound kubwa.

Nimeona gari ndogo na zenye engine ya kawaida zinarekebishwa muffler hiyo hiyo bila kuongeza ukubwa mfano Nissan Datsun, Suzuki Escudo na Toyota Corolla.

Ingia instagram cheki page ya Old School Rides Tz utaona kuna gari ndogo kama Suzuki Maruti na Escudo jamaa kabadili muffler sound ni C.E.O na fundi anaitwa George utachukua namba zake kama utakuwa unahitaji gari yako akurekebishie.
 
Mkuu asante saana kwa ushauri wako.
naelewa concern yako hapo vizuri.
Hakuna utoto hapo, wewe ndo uache utoto kufananisha vitu vya kijinga na ma wigi ya wanawake.



Huo mtindo wa kufunga madude kwenye bomba la moshi huwa unaipa shida gari kupumua na ni moja ya chanzo cha matitizo kwenye engine ya gari.

Ndo maana nikanzisha uzi hapa baada ya kufanya reseacrh zangu nikasema sio mbaya nisikilize mawazo ya wadau pia, maana ni kweli hayo madude ya
madhara hasa kama hizi wanazo weka bila kufanya mapping kama wanazo weka kwenye IST,virts etc. kwa hapa bongo sijui hizo mambo na ndo maana nimekuja hapa thanks kwa mdau mmoja kanielekeza wapi wanafanya hizo mambo kitalaam kabisa.



Kama haujui tu, hayo madude ni artificial noise maker kwa maana ya kwamba yanaweka ili kuigiza mlio wa sauti ya magari yenye engine zenye power kubwa kama ferrari, Bugatti, Lamborghini na mengineyo..... Mkuu najua noiser maker mimi kuna sound naipenda hipo standard haipigi kelele kama hizo teza au subaru labda nimekosea kutumia mifano hio aim nilitaka kujua wapi nitapata msaada na nimepata, mimi sitaki milio ya kutoa moto just a standard base a light rumble sound na sina uwezo wa hizo ferrari,buggati...etc nataka hi hi ina nitosha mimi masikini sina uwezo wa hizo.


Milio ya namna hiyo ambayo sio feki unaweza kuipata katika gari kama Subaru forester (sio zote ila zenye engines zenye turbo tu) ambazo huo mlio huwa unatoka mbele kwenye engine na sio huku kwenye exhaust pipe..... hata hi zipo zenye turbo tena safi tuh na aim nifike huko ni install turbo kit na kufanyia hayo yote kwa watalaam ndo maana nilifanya research haja tosha nikaja hapa kucheck maoni ya watu.


Sasa kwa kufunga hilo takataka unakuwa hauna tofauti na wadada wao vaa nywele feki za kizungu ili waonekane ni wazungu na kumbe nywele ni feki na sio za asili. kwako takataka kwangu ni mali, one man's trash is another man's treasure sio ajabu hata baisikeli huna hapo kazi kudanda madaladala na kunuka kikwapa 😀 huna sababu ya kua sarcastic mwanzo umeleweka vizuri ila naona unakuja Kishabiki kumbuka sio kila mtu ana uwezo wakua na subaru,au hizo ferrari.


Pia haina tofauti na kuweka sahani za tairi kwenye gari yako ili ionekane ina rim kali na kumbe ni feki, na sote tunajua kuwa rim za ukweli zipo ingawa ni gharama, ila zipo...... zipo sikatai thanks kwa ushauri, ila kama sijapenda muonekano wake??? mimi si fanyi kwa kuwa pendeza watu acha ujinga! nafanya kwajili yangu nime fanya research zangu na nimependa rim za jiko zikiwa customized zime nivutia kuliko hizo za allo asa kwani vibaya wapo wameshauri vizuri tuh ila unakuja kishari kama una nipa hizo hela.


So bro, acha kuingia gharama ili kuonyesha how fake you can be....just ridhika na uwezo wako wa kumiliki gari ya engine ndogo, utakapo pata gari ya bei utaweza pata huu mlio ambao utakuwa original kabisa..... naingia gharama kwa kupendezesha chombo changu, uja ni saidia kununua
na wala uto nisaidia kungia gharama zijazo pesa yangu. ila thanks watu kama nyie tuna waitaji kwenye kukatisha tamaa ili usikate tamaa maana kukata tamaa ni dhambi.


HI GARI USI DHARAU: for your reference angalia picha hizo sije uka sema 180 ukai jaribu.
 

Attachments

  • ghg.jpg
    7.4 KB · Views: 57
  • Toyota_Corolla_WRC_02.jpg
    131 KB · Views: 55
  • toyota.jpg
    30.4 KB · Views: 52
  • Saxony_rally_racing_Toyota_Corolla_WRC_02_(aka).jpg
    60.9 KB · Views: 56
  • 8161772024_432ef2c3ab_b.jpg
    88 KB · Views: 57
  • post-1460-1224377719_thumb.jpg
    28.6 KB · Views: 65
Ndio na mimi nimejionea hizo hizo gari ndogo nyingi tuh ila kue na watalaam wazuri wanafanya bila kua na madhara, na wajua hawo jamaa ila siku wahi kuona namba zao pale insta ila nita cheki tena kuna hao wajapan kumbe wana page facebook wanafanya hizo mambo pia, thanks mkuu na follow up na wote hapa.
 
Ninachokiona ni gari yako ya mwanzo kumiliki nakushauri subiri baada ya miezi mitatu utajiona bonge la mpumbavu na kujuta kwanini ulitaka kuweka kelele.
 
Na engen ya 4a fe ni cc 1500 inakuwaje hiyo gari ifike speed220 mkuu au ndo muingereza kafanya yake
 
Kaka hizi za jiko deal saana huki zi customize zina kua na muonekano mzuri kuliko hizo sports mayai za sikuizi ila nimekuelewa aina tabu kama hizo za chini hapo
kwa kweli hizi gari mtandaoni zinavutia lkn hiyo inayotaka kubadilishwa sijaelewa ni camera iliyotumia au macho yangu.
 
42 mkuu,napenda steel wheel rims
Kwa umri huo kama ndio unaanza kutaka kelele za gari basi siku si nyingi utamwambia mkeo akuwekee POTI chumbani maani ni stage ambayo hukupitia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…