new generation
JF-Expert Member
- Mar 14, 2012
- 817
- 1,687
Basi gear ratio zake zitakua kubwa kiasi cha kuweza ku-attain speed ya 200+ as maximum speed.. Ina CVT au normal ATF transmission system?ina gear nne tuh mkuu zama google corolla e110 uone specs zake.
Daah hilo gari hapo limepakwa rangi ya blue limekua kama bati la msauzi(baya kishenziiiiii),samahani lkn mkuu.huyo hapo
Kuna cresta juzi ilikua inapita mtaan,ilkua ina mlio wa kawaida tu..ila ilivo anza panda kilima kwa mbele ilikua ina mungurumo mzito ule usio na makelele kama ya kina alteza,..je kuna mufler zinazotoa muungurumo wa nguvu bila yle makelele kama yakina subaru na alteza?Pia hata kuongeza nguvu inawezekana na unafungiwa muffler inayotoa sound unayotaka.
Unachotafuta ni kuongeza fuel consumption bila sababu... Hiyo engine ni ndogo, mzunguko wa mafuta utakuwa mkubwa lakini kwenye engine hujaongeza piston hata moja...Habari wadau, samahani naomba ka ushauri kwa wale watalaam wa magari, mimi na corolla E110 speed 220km/h ni muingereza version ya corolla. Nataka maujanja ya kuifanya inatoa sauti kama subaru,alteza je kuna watalaam wana fanya hivyo?,na wako wapi? kwa hapa dar es salaam.au na badilisha tuh muffler na je kuna madhara yoyote yale kwenye gari kama ukifanya localy tuh bila utalamu,yani ikiwezekana niongeze perfomance ya gari.engine ni 4a-fe
View attachment 827348
InawezekanaKuna cresta juzi ilikua inapita mtaan,ilkua ina mlio wa kawaida tu..ila ilivo anza panda kilima kwa mbele ilikua ina mungurumo mzito ule usio na makelele kama ya kina alteza,..je kuna mufler zinazotoa muungurumo wa nguvu bila yle makelele kama yakina subaru na alteza?
Masega?Kwani ana rina asali hapo bro?Toa masega.
Hukochini kwenye exsost kuna vutumbo viwili kwenye hivyo vitumbo kuna masega toa gayo
Sent using Jamii Forums mobile app
Toa masega.
Hukochini kwenye exsost kuna vutumbo viwili kwenye hivyo vitumbo kuna masega toa gayo
Sent using Jamii Forums mobile app