Sky Eclat JF-Expert Member Joined Oct 17, 2012 Posts 57,761 Reaction score 216,011 Mar 6, 2020 #1 Wananchi wanasema stand ya mabasi waliyoambiwa imejengwa kwa million 800, haina ubora na thamani ya pesa hiyo. Elimu bure ndiyo lakini hakuna walimu mashuleni na kuna shule hazina majengo.
Wananchi wanasema stand ya mabasi waliyoambiwa imejengwa kwa million 800, haina ubora na thamani ya pesa hiyo. Elimu bure ndiyo lakini hakuna walimu mashuleni na kuna shule hazina majengo.