Sauti za wananchi juu ya juhudi za awamu ya tano mafanikio na changamoto

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
https://www.facebook.com/
Wananchi wanasema stand ya mabasi waliyoambiwa imejengwa kwa million 800, haina ubora na thamani ya pesa hiyo.

Elimu bure ndiyo lakini hakuna walimu mashuleni na kuna shule hazina majengo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…