Sauti za wanawake zimepatwa na nini?

Sauti za wanawake zimepatwa na nini?

BabaMorgan

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2017
Posts
4,869
Reaction score
13,137
Kuna ongezeko la wanawake wenye sauti kali na wanaongea sana compared na wanawake wenye sauti za upole na wanaongea kwa unyenyekevu. Unakuta mwanamke sauti yake ina punch kiasi kwamba akiongea mtu aliyeko umbali wa mita 100 anasikia Kwa ufasaha.

Mnaweza kuwa kwenye mazungumzo ya kawaida ila ukahisi kama unafokewa kumbe ndio namna yake ya kuongea. Uongeaji wa namna hii unanifanya niwe uncomfortable na kupoteza interest ya mazungumzo.
 
Hiyo ni moja ya madhara ya noise pollution,

Unakuta mfano mtu anafanya mishe zake sehemu zenye kelele na amesha zowea kuwasiliana na wateja au wafanya biashara wenzake kwa sauti ya juu ili wasikilizane kutokana na kuwepo kwa makelele eneo husika,na ndio inakua mazowea tena ya kuongea kwa sauti ya juu hata akiwa kwenye maeneo tulivu,

Noise pollution ina affect pia hearing "Usikivu" wa muhusika na kujikuta anaongea kwa sauti ya juu zaidi.
 
Usiseme wanawake tu!! wanaume na wanawake among them wakiongea utasema wamewekewa speaker/mike mdomoni. Sijui sifa ama!! au anataka wote wamuangalie na lismatiphoni lake kubwa kama tofali!!! White people huwezi kuwakuta hivyo labda wachache sana. Hata wahindi wana hako katabia japo sio wote, anaweza akaongea hata 2hrs.
 
Kuna ongezeko la wanawake wenye sauti kali na wanaongea sana compared na wanawake wenye sauti za upole na wanaongea kwa unyenyekevu. Unakuta mwanamke sauti yake ina punch kiasi kwamba akiongea mtu aliyeko umbali wa mita 100 anasikia Kwa ufasaha.

Mnaweza kuwa kwenye mazungumzo ya kawaida ila ukahisi kama unafokewa kumbe ndio namna yake ya kuongea. Uongeaji wa namna hii unanifanya niwe uncomfortable na kupoteza interest ya mazungumzo.

Kama ya yule aliepokonywa jimbo pale mbele ya lugalo kwa mbele kulia ?
 
Ukiwa mwanaume halisi huwezi sikia sauti ya mwanamke ikiwa juu yako kwanza siku zote ukihisi mwanamke analeta ujuaji au anabonga sana utajikuta umeshakata ukaribu nae hata awe mrembo Kama malaika kubonga sana ni sumu mbele ya mwanaume
 
Kuna ongezeko la wanawake wenye sauti kali na wanaongea sana compared na wanawake wenye sauti za upole na wanaongea kwa unyenyekevu. Unakuta mwanamke sauti yake ina punch kiasi kwamba akiongea mtu aliyeko umbali wa mita 100 anasikia Kwa ufasaha.

Mnaweza kuwa kwenye mazungumzo ya kawaida ila ukahisi kama unafokewa kumbe ndio namna yake ya kuongea. Uongeaji wa namna hii unanifanya niwe uncomfortable na kupoteza interest ya mazungumzo.
Ni malezi na wengi ni wachagga! Jana nilikuwa naongea na shemeji yangu (mtu mzima 60+) akapokea simu. Unajua hizi simu za kichina ni kama umeweka loud speaker. Akawa anaongea kwa adabu sana ila aliyekuwa anawasiliana naye (ke) anaongea kwa ukali, mpaka nikasikia….. hunisiki wewe.. kwa Sauti ya ukali. Shemeji akawa uncomfortable na kuongea kwa unyenyekevu (naye mchagga). Baada ya kumaliliza nikamuuliza ni nani. Huwezi amini ni Mkwe wake (mke wa mtoto wake wa kumzaa)! Lakini huwezi amini shemeji yangu alikuwa anaona ni kawaida! Sikutia neno ila …. Ukweli mabinti wa kichagga ni janga
 
Back
Top Bottom