Save for save huwa ina faida gani?

Save for save huwa ina faida gani?

Naonaga kama usumbufu tu..yani mtu ukiwa kwenye group hawa watu wa save to save..kila siku mara save namba na mimi nisave yako ili tuweze kushare bishara.

#MaendeleoHayanaChama
 
Naonaga kama usumbufu tu..yani mtu ukiwa kwenye group hawa watu wa save to save..kila siku mara save namba na mimi nisave yako ili tuweze kushare bishara.

#MaendeleoHayanaChama
Wengi unakuta ni wale wa online marketing 😅😅😅😅😅wanakera wanajiita ma mentor
 
Ili akiweka biashara status uone.
Status zao zinakaa hivi---------------------------------------------------------------------------------
 
Back
Top Bottom