Saving foundation

wash755

Member
Joined
Feb 9, 2014
Posts
28
Reaction score
15
Wana jamii nisaidieni hivi ni kweli hawa jamaa wapo hapa dar na wanatoa mikopo ya kifedha? Tafadhali tujuzane kwa kina.
 
matapeli mi na ndugu yangu katapeliwa juzi tuu!
usijaribu kujiunga nao hata kidogo. kuna mdada mmoja ndo jambazi kuu lao anatumia namba imesajiliwa jina wema sepetu.
wanakutapeli hivihivi ukiwa na akili zako timamu cha ajabu mitandao ya simu wala haifungi hizi namba wanazotumia kwa ajili ya kulipa.
wamehack account za facebook kama za Anna makinda; ilikuhamasisha watu wajiunge nao
 
Asante charlie huu basi ni utapeli wa ajabu maana hawa jamaa ni kama wamehalalishwa na serikali yetu wanafanya utapeli kweupe kabisa nafikiri inabidi niwataarifu mamlaka husika nione kama watachukua hatua zozote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…