Wewe JUHA hivi unajua kusoma vizuri?Duuh!!...sasa jibu swali hili je pesa alizofisadi JPM zilitokea wapi?
Kwa mujibu wa HADITHI zenu za karibuni ni kwamba JPM alikuwa bonge la kiongozi FISADIA katika hii nchi haijawahi kutokea ,
yaani kwa hesabu za haraka haraka ndani ya utawala wake wa miaka 6,ameiba zaidi ya 7trillion za kitanzania
Sawa,yafuayato yote ni kwa mujibu wenu nyinyi wenyewe tangu JPM akiwa hai
Katika kipindi cha utawala wake UCHUMI wa nchi ulikufa kabisa kutokana na sera zake mbovu na CHUKI zake kwa MATAJIRI,hali iliyopelekea wawekezaji kuondoka na kufunga viwanda vyao
Wawekezaji wapya waliogopa kuja nchini kutokana na utawala wake wa kidikteta
Aliharibu ama kuuwa kabisa sekta binafsi nchini hivyo kupelekea nchi kuwa na mzunguko mdogo wa kifedha mtaani,yaani hali ilikuwa mbaya
Alikuwa akipika takwimu kuonyesha uchumi unakuwa ili hali uchumi ulikuwa hoi bin taaban
Maduka makubwa kariakoo na karibu nchi nzima yalikuwa yakifungwa, na ndio sababu
Alikuwa akipika takwimu za makusanyo kila mwezi kwa kushirikiana na TRA ili hali makusanyo yalikuwa haba kabisa
Alitengwa na jamii za kimataifa na kunyimwa misaada kutokana na kuminya demokrasia nchini
Alikuwa akilipa madeni kimya kimya kutokana na amri za mahakama za kimataifa baada ya kukurupuka kuvunja mikataba ya kampuni mbali mbali
Aliua kabisa bandari ya Dar kiasi kulikuwa hakuna kabisa meli zilizokuwa zinakuja hapo bandarini(wafanyabiashara walikimbilia bandari za Mombasa,Msumbiji na DURBAN)
Alikuwa anakopa sana mikopo isiyo rafiki kwa nchi ili
Kununua ndege kwa cash
Kununua wapinzani
Kuhamishia serikali Dodoma
Kujenga bwawa la Nyerere
Kujenga SGR
Kujenga daraja la Busisi(kuwafurahisha wakwe)
Kujenga airport ya chato (international?)
Na mambo mengine kibao kama kujenga barabara,hospitali,madaraja,kukarabati viwanja vya ndege nk nk( tunataka maendeleo ya watu na sio vitu ....mnakumbuka?)
Sasa swali langu kwenu WAUNGWANA, kutokana na hayo yote hapo juu mliyokuwa mkituambia (msidhani tumesahau)
Je hayo matrillions aliyofisadi JPM yalikuwa yanatokea wapi..???
Wewe JUHA hivi unajua kusoma vizuri?
Hivi unajua Magu ndani ya Miaka 6 tu ya utawala wake, LILIKOPA pesa nyingi kinoma kuliko pesa zote ambazo Kikwete alikopa miaka yote 10 ya UTAWALA Wake?
Sasa si umeshasema alikuwa anakopa sana!
Huna akiliKwahiyo Magu kukopa pesa nyingi ndani ya miaka 6 ya utawala wake ndio kunamfanya kuwa FISADI?
Huna akili
Sikilizia wewe kiazi, soma tena swali lako ulilo uliza halafu soma jibu langu.Ila wewe mwenye akili umeshindwa kujibu maswali niliyouliza mimi 'nisiye na akili'? hongera kwa kuwa na akili
Kwa mujibu wa wanasiasa uchwara alikuwa anakopa sana ili ku finance hiyo miradi,sasa hizo trillions alizofisadi zinatoka wapi?
màgufool atakumbukwa kwa uwezo wake wa kupika data na kuongea uongo
#tunajenga kwa pesa za ndani
Umeisoma ripoti ya CAG?
Unaamini CAG ametunga tu ufisadi uliofanyika awamu hiyo kumchafua mpendwa wako na utawala wako?
Magufuli hakufanikiwa kwa chochote kizuri.So alikuwa anapika data na kuongea uongo lakini Tanzania ikawa moja ya nchi ambazo uchumi ulikuwa unakuwa kwa kasi ndani ya Africa,
na bado akafanikiwa kuanzisha miradi yote hiyo aliyoiacha,kwa kutumia uongo wake na kupika data?
Na bado akaweza kufisadi matrillion ya shilingi?
Duuh!! basi jamaa alikuwa so GENIUS
Sikilizia wewe kiazi, soma tena swali lako ulilo uliza halafu soma jibu langu.
Ukimaliza Kanye labda akili zitakurudia.
Ungewauliza pia baada ya magufuli kufa matrilioni aliyofilisi yako wapi?Kwa mujibu wa HADITHI zenu za karibuni ni kwamba JPM alikuwa bonge la kiongozi FISADIA katika hii nchi haijawahi kutokea ,
yaani kwa hesabu za haraka haraka ndani ya utawala wake wa miaka 6,ameiba zaidi ya 7trillion za kitanzania
Sawa,yafuayato yote ni kwa mujibu wenu nyinyi wenyewe tangu JPM akiwa hai
Katika kipindi cha utawala wake UCHUMI wa nchi ulikufa kabisa kutokana na sera zake mbovu na CHUKI zake kwa MATAJIRI,hali iliyopelekea wawekezaji kuondoka na kufunga viwanda vyao
Wawekezaji wapya waliogopa kuja nchini kutokana na utawala wake wa kidikteta
Aliharibu ama kuuwa kabisa sekta binafsi nchini hivyo kupelekea nchi kuwa na mzunguko mdogo wa kifedha mtaani,yaani hali ilikuwa mbaya
Alikuwa akipika takwimu kuonyesha uchumi unakuwa ili hali uchumi ulikuwa hoi bin taaban
Maduka makubwa kariakoo na karibu nchi nzima yalikuwa yakifungwa, na ndio sababu
Alikuwa akipika takwimu za makusanyo kila mwezi kwa kushirikiana na TRA ili hali makusanyo yalikuwa haba kabisa
Alitengwa na jamii za kimataifa na kunyimwa misaada kutokana na kuminya demokrasia nchini
Alikuwa akilipa madeni kimya kimya kutokana na amri za mahakama za kimataifa baada ya kukurupuka kuvunja mikataba ya kampuni mbali mbali
Aliua kabisa bandari ya Dar kiasi kulikuwa hakuna kabisa meli zilizokuwa zinakuja hapo bandarini(wafanyabiashara walikimbilia bandari za Mombasa,Msumbiji na DURBAN)
Alikuwa anakopa sana mikopo isiyo rafiki kwa nchi ili
Kununua ndege kwa cash
Kununua wapinzani
Kuhamishia serikali Dodoma
Kujenga bwawa la Nyerere
Kujenga SGR
Kujenga daraja la Busisi(kuwafurahisha wakwe)
Kujenga airport ya chato (international?)
Na mambo mengine kibao kama kujenga barabara,hospitali,madaraja,kukarabati viwanja vya ndege nk nk( tunataka maendeleo ya watu na sio vitu ....mnakumbuka?)
Sasa swali langu kwenu WAUNGWANA, kutokana na hayo yote hapo juu mliyokuwa mkituambia (msidhani tumesahau)
Je hayo matrillions aliyofisadi JPM yalikuwa yanatokea wapi..???
Magufuli hakufanikiwa kwa chochote kizuri.
Hata kumuua Lissu licha ya kutumia risasi zaidi 30 Kama anaua chatu lakini ALIFELI.
TAZARA flyover Ni msaada was Japana.
Ubungo Flyover Ni msaada wa WORLD BANK.
FLYOVER ya Ocean Road Ni mkopo.
Nyerere bridge Ni Mkopo.
SGR Ni Mkopo.
Kafa Hakuna alichomaliza zaidi ya KUKOPA na kurudi CHAGUZI UCHWARA kuwapa ulaji kina Mwita waitara
Ungewauliza pia baada ya magufuli kufa matrilioni aliyofilisi yako wapi?
Mkuu tukupe mji tu maana kitendawili kishakuwa kigumu swali halina jibu.Nataka kwanza waniambie hizo trillions alizofisadi zilitokea wapi ili tuje kwenye swali lako,bado nasubiri majibu yao hapa
Unazungumzia miradi gani ambayo aliiacha huyo fool's heroSo alikuwa anapika data na kuongea uongo lakini Tanzania ikawa moja ya nchi ambazo uchumi ulikuwa unakuwa kwa kasi ndani ya Africa,
na bado akafanikiwa kuanzisha miradi yote hiyo aliyoiacha,kwa kutumia uongo wake na kupika data?
Na bado akaweza kufisadi matrillion ya shilingi?
Duuh!! basi jamaa alikuwa so GENIUS