Sawa, kila la kheri Msigwa ni uamuzi wako na utaheshimiwa ila usiibomowe CHADEMA

Sawa, kila la kheri Msigwa ni uamuzi wako na utaheshimiwa ila usiibomowe CHADEMA

Sanyambila

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2018
Posts
378
Reaction score
510
Mpendwa MCH. Peter Msigwa, Umekuwa mwanachama mtiifu Kama siyo mwaminifu nionavyo Mimi katika chama chako tangu umejiunga nacho 2000+ vita ulipigana , vita vile vya heri na fitina ulivifaulu saaana hongera saana.
Hatimaye Leo umejiunga na Adui wako na chama chako wa takribani miaka 30 Sasa ukaona yanini haya madhira japo umeita ni uduni wa demokrasia ndani ya chama chako Cha zamani sawa ndivyo uonavyo basi aonavyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo ........
Umekuwa Kiongozi wa Nyasa miaka 5 au 10 kichwa changu ni karatasi likiloana maandishi yanapotea kutoka kwa brother mmoja hivi hakulalamika kama alilalamika basi hakuahama chama mafikiri bado yupo je ni hili tu ama Kuna mengineyo??????

Wasia wangu juu ya busara zako ni hivi. Ni haki yako kikatiba Sasa kama mpitaji nakumbia haya👇👇👇👇

Sawa kila raheli Msigwa ni uamuzi wako na utaheshimiwa Ila umeenda huko usiibomowe chadema ni kama Mama yako amekuzaa ,amekukuza, amekuhimalisha kisiasa mpaka umeonekana na kutambuliwa, hatimaye umekuwa gangwe Kama siyo gwiji la siasa onyesha ukomavu na siyo kuidharau, kubeza na kukiangusha chama mama yako
Uwasalimie akina kafulila, kitila,Nasari, molleli, na brother Mwita
Kila raheli Msigwa bye bye

Usia toka kwangu
 
Mapema sana kwa wosia. Mtu ndio kwanza kafika. Wosia unasomwa mwisho ila kama ni lazima sana bas asomewe wosia Mbowe
 
Na pale iringa kama Msigwa katoka, hakyanani hakuna wa kum challenge Jesca ever.
UKimuondoa Mwakibasa wa nccr mwaka 95, msigwa ndio mpinzani wa pil kupokonya kiti cha ubunge ccm.
Kwa style hii ubunge ccm jimbo la iringa itakua forever
 
Na pale iringa kama Msigwa katoka, hakyanani hakuna wa kum challenge Jesca ever.
UKimuondoa Mwakibasa wa nccr mwaka 95, msigwa ndio mpinzani wa pil kupokonya kiti cha ubunge ccm.
Kwa style hii ubunge ccm jimbo la iringa itakua forever
Watakuja wengine wazuri zaidi yake
 
am
Mpendwa MCH. Peter Msigwa, Umekuwa mwanachama mtiifu Kama siyo mwaminifu nionavyo Mimi katika chama chako tangu umejiunga nacho 2000+ vita ulipigana , vita vile vya heri na fitina ulivifaulu saaana hongera saana.
Hatimaye Leo umejiunga na Adui wako na chama chako wa takribani miaka 30 Sasa ukaona yanini haya madhira japo umeita ni uduni wa demokrasia ndani ya chama chako Cha zamani sawa ndivyo uonavyo basi aonavyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo ........
Umekuwa Kiongozi wa Nyasa miaka 5 au 10 kichwa changu ni karatasi likiloana maandishi yanapotea kutoka kwa brother mmoja hivi hakulalamika kama alilalamika basi hakuahama chama mafikiri bado yupo je ni hili tu ama Kuna mengineyo??????

Wasia wangu juu ya busara zako ni hivi. Ni haki yako kikatiba Sasa kama mpitaji nakumbia haya👇👇👇👇

Sawa kila raheli Msigwa ni uamuzi wako na utaheshimiwa Ila umeenda huko usiibomowe chadema ni kama Mama yako amekuzaa ,amekukuza, amekuhimalisha kisiasa mpaka umeonekana na kutambuliwa, hatimaye umekuwa gangwe Kama siyo gwiji la siasa onyesha ukomavu na siyo kuidharau, kubeza na kukiangusha chama mama yako
Uwasalimie akina kafulila, kitila,Nasari, molleli, na brother Mwita
Kila raheli Msigwa bye bye

Usia toka kwangu
salimie Gekur pia
 
Sikatai..ilichukua miaka mingapi mpaka kuja mch.msigwa??
Hapa ndio upinzan unapokosaga kuonekana serious kwa watu makin??
Every day keeping on doing the same stuff over and ovee again
Ulitaka afanywe nini? Abembelezwe?
 
Sumu haijaribiwi Kwa ulimii...

Next baada ya huyu ............???
 
Mpendwa MCH. Peter Msigwa, Umekuwa mwanachama mtiifu Kama siyo mwaminifu nionavyo Mimi katika chama chako tangu umejiunga nacho 2000+ vita ulipigana , vita vile vya heri na fitina ulivifaulu saaana hongera saana.
Hatimaye Leo umejiunga na Adui wako na chama chako wa takribani miaka 30 Sasa ukaona yanini haya madhira japo umeita ni uduni wa demokrasia ndani ya chama chako Cha zamani sawa ndivyo uonavyo basi aonavyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo ........
Umekuwa Kiongozi wa Nyasa miaka 5 au 10 kichwa changu ni karatasi likiloana maandishi yanapotea kutoka kwa brother mmoja hivi hakulalamika kama alilalamika basi hakuahama chama mafikiri bado yupo je ni hili tu ama Kuna mengineyo??????

Wasia wangu juu ya busara zako ni hivi. Ni haki yako kikatiba Sasa kama mpitaji nakumbia haya👇👇👇👇

Sawa kila raheli Msigwa ni uamuzi wako na utaheshimiwa Ila umeenda huko usiibomowe chadema ni kama Mama yako amekuzaa ,amekukuza, amekuhimalisha kisiasa mpaka umeonekana na kutambuliwa, hatimaye umekuwa gangwe Kama siyo gwiji la siasa onyesha ukomavu na siyo kuidharau, kubeza na kukiangusha chama mama yako
Uwasalimie akina kafulila, kitila,Nasari, molleli, na brother Mwita
Kila raheli Msigwa bye bye

Usia toka kwangu
Ataanzia kutukana soon ndo masharti wanapewaga hawa
 
Mimi nimimuona mwanasiasa ametoka upinzani na kuhamia ccm, akili yangu inanituma huyo mwanasiasa amefuata maslahi (cheo cha kuteuliwa/ulaji) tu.

Maana nje ya hapo, ccm haina kitu kingine cha kujivunia kwa mtu aliyetokea upinzani.
 
Na pale iringa kama Msigwa katoka, hakyanani hakuna wa kum challenge Jesca ever.
UKimuondoa Mwakibasa wa nccr mwaka 95, msigwa ndio mpinzani wa pil kupokonya kiti cha ubunge ccm.
Kwa style hii ubunge ccm jimbo la iringa itakua forever
Yupo bilionea Geofrey Mungau
 
Sitamchukia wala kumsimanga Msigwa na ningependa aongee yale aliyonayo Moyoni.
 
Daaaa naona basi kama ni kweli basi Mbowe ni Jasusi hatari sana na alikuwa sahihi kumbania Uchairman wa Kanda,Haiingii akilini kwa Mtu kama Msingwa kujiunga Ccm kwa wakati kama huu.
 
Back
Top Bottom