Sawa, kila la kheri Msigwa ni uamuzi wako na utaheshimiwa ila usiibomowe CHADEMA

Sawa, kila la kheri Msigwa ni uamuzi wako na utaheshimiwa ila usiibomowe CHADEMA

Kumbe Zito Kabwe alionewa, zito akampa mkono msigwa akagoma kuupokea.Zito akufukuzwa Bungeni. Maisha ya wanasiasa ni unafiki mtupu
 
Daaaa naona basi kama ni kweli basi Mbowe ni Jasusi hatari sana na alikuwa sahihi kumbania Uchairman wa Kanda,Haiingii akilini kwa Mtu kama Msingwa kujiunga Ccm kwa wakati kama huu.

Huyu Msigwa yumkini hakuhama CHADEMA leo. Atakuwa muda mrefu alikuwa CHADEMA lakini akiitumikia CCM. Bila shaka intelijensia ya huko CHADEMA ilimshtukia ndiyo maana zikafanyika jitihada kuhakikisha anakaa nje ya inner circle ya chama.

Ikumbukwe hata wakati wa marehemu, viongozi wa CHADEMA walipowekwa ndani, marehemu aliamua kumtoa Msigwa, lakini bila shaka, kwa maagizo Msigwa akakataa ili wanaochanga, wachange pesa ya kumtoa, na iliyokuwa imetolewa na ikulu, aitie mfukoni.
 
Mpendwa MCH. Peter Msigwa, Umekuwa mwanachama mtiifu Kama siyo mwaminifu nionavyo Mimi katika chama chako tangu umejiunga nacho 2000+ vita ulipigana , vita vile vya heri na fitina ulivifaulu saaana hongera saana.
Hatimaye Leo umejiunga na Adui wako na chama chako wa takribani miaka 30 Sasa ukaona yanini haya madhira japo umeita ni uduni wa demokrasia ndani ya chama chako Cha zamani sawa ndivyo uonavyo basi aonavyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo ........
Umekuwa Kiongozi wa Nyasa miaka 5 au 10 kichwa changu ni karatasi likiloana maandishi yanapotea kutoka kwa brother mmoja hivi hakulalamika kama alilalamika basi hakuahama chama mafikiri bado yupo je ni hili tu ama Kuna mengineyo??????

Wasia wangu juu ya busara zako ni hivi. Ni haki yako kikatiba Sasa kama mpitaji nakumbia haya👇👇👇👇

Sawa kila raheli Msigwa ni uamuzi wako na utaheshimiwa Ila umeenda huko usiibomowe chadema ni kama Mama yako amekuzaa ,amekukuza, amekuhimalisha kisiasa mpaka umeonekana na kutambuliwa, hatimaye umekuwa gangwe Kama siyo gwiji la siasa onyesha ukomavu na siyo kuidharau, kubeza na kukiangusha chama mama yako
Uwasalimie akina kafulila, kitila,Nasari, molleli, na brother Mwita
Kila raheli Msigwa bye bye

Usia toka kwangu
Yule mbunge wa hoja za ngono Iringa anasemaje
 
Uongozi uliotukuka wa Rais Doctor Samia Suluhu Hassan hata nchi za mbali kama Russia na Norway wameona wafuate uongozi wetu hakika Msigwa inastahili kuingia CCM kujifunza Medani mya za siasa
 
Daaaa naona basi kama ni kweli basi Mbowe ni Jasusi hatari sana na alikuwa sahihi kumbania Uchairman wa Kanda,Haiingii akilini kwa Mtu kama Msingwa kujiunga Ccm kwa wakati kama huu.
Kwa ujumla alichokiongea Msigwa leo inaonyesha ni jinsi gani kuhama kwake hakutakuwa na impact yeyote. Kila kidogo amuingize Lisu chaka.
 
Mpendwa MCH. Peter Msigwa, Umekuwa mwanachama mtiifu Kama siyo mwaminifu nionavyo Mimi katika chama chako tangu umejiunga nacho 2000+ vita ulipigana , vita vile vya heri na fitina ulivifaulu saaana hongera saana.
Hatimaye Leo umejiunga na Adui wako na chama chako wa takribani miaka 30 Sasa ukaona yanini haya madhira japo umeita ni uduni wa demokrasia ndani ya chama chako Cha zamani sawa ndivyo uonavyo basi aonavyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo ........
Umekuwa Kiongozi wa Nyasa miaka 5 au 10 kichwa changu ni karatasi likiloana maandishi yanapotea kutoka kwa brother mmoja hivi hakulalamika kama alilalamika basi hakuahama chama mafikiri bado yupo je ni hili tu ama Kuna mengineyo??????

Wasia wangu juu ya busara zako ni hivi. Ni haki yako kikatiba Sasa kama mpitaji nakumbia haya👇👇👇👇

Sawa kila raheli Msigwa ni uamuzi wako na utaheshimiwa Ila umeenda huko usiibomowe chadema ni kama Mama yako amekuzaa ,amekukuza, amekuhimalisha kisiasa mpaka umeonekana na kutambuliwa, hatimaye umekuwa gangwe Kama siyo gwiji la siasa onyesha ukomavu na siyo kuidharau, kubeza na kukiangusha chama mama yako
Uwasalimie akina kafulila, kitila,Nasari, molleli, na brother Mwita
Kila raheli Msigwa bye bye

Usia toka kwangu
Watanzania tulio wengi hatuna ustaarabu wa kuondoka sehemu tukapaacha salama, lazima tupachafue tu. Ndilo jambo rahisi tunaloweza kufanya. Mambo mengine ya kusema 'tenda wema nenda zako' tunaona haiwezekani. Hatuwezi kuwa positive kwa sehemu tunakotoka/hama. Hata kwa mambo ya ndoa ni hivyo. Wanandoa wakitalakiana/tengana kila mmoja atamwaga siri za mwenzake hadharani, na tunaona na vizuri tu. Kwa nini? Ni kwa sababu akili na mioyo yetu imejaa kinyongo/fitina/hila/chuki. Lakini ni jambo jema kiasi gani kubaki 'positive'! It's very fulfilling! Tujitahidi kila mara kuwa positive - tuondoke sehemu, twende huko tunakokwenda, lakini tusichafue huku tunakotoka.
 
Back
Top Bottom