boaz mwalwayo
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 6,287
- 4,738
HUwezi kufanya tendar za serikali ukawa upinzani naungana na weweGeofrey huyu huyu mkandarasi wa tender za serikali???? We ufanye kaz za serikal na uwe oposition kama sio kuigiziana ni nini???
Daaaa naona basi kama ni kweli basi Mbowe ni Jasusi hatari sana na alikuwa sahihi kumbania Uchairman wa Kanda,Haiingii akilini kwa Mtu kama Msingwa kujiunga Ccm kwa wakati kama huu.
Yule mbunge wa hoja za ngono Iringa anasemajeMpendwa MCH. Peter Msigwa, Umekuwa mwanachama mtiifu Kama siyo mwaminifu nionavyo Mimi katika chama chako tangu umejiunga nacho 2000+ vita ulipigana , vita vile vya heri na fitina ulivifaulu saaana hongera saana.
Hatimaye Leo umejiunga na Adui wako na chama chako wa takribani miaka 30 Sasa ukaona yanini haya madhira japo umeita ni uduni wa demokrasia ndani ya chama chako Cha zamani sawa ndivyo uonavyo basi aonavyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo ........
Umekuwa Kiongozi wa Nyasa miaka 5 au 10 kichwa changu ni karatasi likiloana maandishi yanapotea kutoka kwa brother mmoja hivi hakulalamika kama alilalamika basi hakuahama chama mafikiri bado yupo je ni hili tu ama Kuna mengineyo??????
Wasia wangu juu ya busara zako ni hivi. Ni haki yako kikatiba Sasa kama mpitaji nakumbia hayaππππ
Sawa kila raheli Msigwa ni uamuzi wako na utaheshimiwa Ila umeenda huko usiibomowe chadema ni kama Mama yako amekuzaa ,amekukuza, amekuhimalisha kisiasa mpaka umeonekana na kutambuliwa, hatimaye umekuwa gangwe Kama siyo gwiji la siasa onyesha ukomavu na siyo kuidharau, kubeza na kukiangusha chama mama yako
Uwasalimie akina kafulila, kitila,Nasari, molleli, na brother Mwita
Kila raheli Msigwa bye bye
Usia toka kwangu
Kwa ujumla alichokiongea Msigwa leo inaonyesha ni jinsi gani kuhama kwake hakutakuwa na impact yeyote. Kila kidogo amuingize Lisu chaka.Daaaa naona basi kama ni kweli basi Mbowe ni Jasusi hatari sana na alikuwa sahihi kumbania Uchairman wa Kanda,Haiingii akilini kwa Mtu kama Msingwa kujiunga Ccm kwa wakati kama huu.
Watanzania tulio wengi hatuna ustaarabu wa kuondoka sehemu tukapaacha salama, lazima tupachafue tu. Ndilo jambo rahisi tunaloweza kufanya. Mambo mengine ya kusema 'tenda wema nenda zako' tunaona haiwezekani. Hatuwezi kuwa positive kwa sehemu tunakotoka/hama. Hata kwa mambo ya ndoa ni hivyo. Wanandoa wakitalakiana/tengana kila mmoja atamwaga siri za mwenzake hadharani, na tunaona na vizuri tu. Kwa nini? Ni kwa sababu akili na mioyo yetu imejaa kinyongo/fitina/hila/chuki. Lakini ni jambo jema kiasi gani kubaki 'positive'! It's very fulfilling! Tujitahidi kila mara kuwa positive - tuondoke sehemu, twende huko tunakokwenda, lakini tusichafue huku tunakotoka.Mpendwa MCH. Peter Msigwa, Umekuwa mwanachama mtiifu Kama siyo mwaminifu nionavyo Mimi katika chama chako tangu umejiunga nacho 2000+ vita ulipigana , vita vile vya heri na fitina ulivifaulu saaana hongera saana.
Hatimaye Leo umejiunga na Adui wako na chama chako wa takribani miaka 30 Sasa ukaona yanini haya madhira japo umeita ni uduni wa demokrasia ndani ya chama chako Cha zamani sawa ndivyo uonavyo basi aonavyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo ........
Umekuwa Kiongozi wa Nyasa miaka 5 au 10 kichwa changu ni karatasi likiloana maandishi yanapotea kutoka kwa brother mmoja hivi hakulalamika kama alilalamika basi hakuahama chama mafikiri bado yupo je ni hili tu ama Kuna mengineyo??????
Wasia wangu juu ya busara zako ni hivi. Ni haki yako kikatiba Sasa kama mpitaji nakumbia hayaππππ
Sawa kila raheli Msigwa ni uamuzi wako na utaheshimiwa Ila umeenda huko usiibomowe chadema ni kama Mama yako amekuzaa ,amekukuza, amekuhimalisha kisiasa mpaka umeonekana na kutambuliwa, hatimaye umekuwa gangwe Kama siyo gwiji la siasa onyesha ukomavu na siyo kuidharau, kubeza na kukiangusha chama mama yako
Uwasalimie akina kafulila, kitila,Nasari, molleli, na brother Mwita
Kila raheli Msigwa bye bye
Usia toka kwangu