Financial Analyst
JF-Expert Member
- Nov 27, 2017
- 1,849
- 3,506
Nimeona mahojiano ya kikeke na mbowe.
Mbowe anasema amemfanyia mambo mengi ya kiutu ili kuboost safari ya mafanikio ya Lissu.
Kana kwamba anasema lissu hapaswi kumfanyia hivi kwa maana yuko liable na msaada wake.
But dude, this guy almost died for you and your people , hio yote bado haijalipa fadhila zako.
Although Lissu nae sio mkamilifu, Mi nafikiri kuna kitu hakiko sawa na Mbowe. Kuna unafiki mkubwa sana.
Mbowe anasema amemfanyia mambo mengi ya kiutu ili kuboost safari ya mafanikio ya Lissu.
Kana kwamba anasema lissu hapaswi kumfanyia hivi kwa maana yuko liable na msaada wake.
But dude, this guy almost died for you and your people , hio yote bado haijalipa fadhila zako.
Although Lissu nae sio mkamilifu, Mi nafikiri kuna kitu hakiko sawa na Mbowe. Kuna unafiki mkubwa sana.