Hahahaha wewe jamaa bhana.Rayvany ana ngoma nyingi sema siyo hit ndo mana huzijui,Unazijua za Harmo kwa vle ni hit,Rayvan ili atoe hit ni mpaka amshirikishe mond.
Mleta mada hizo data hawezi kuzielewa.Harmonize ameachieve kitu gani kikubwa zaidi ya Wasanii wengine wa WCB?
Rayvanny vitu alivyo achieve.
1.Tuzo ya BET
2.Kupiga show kwenye tamasha la Essence US,ambao lilijumuisha mastaa wengi
View attachment 1223543
3.Nyimbo yake ya Tetema imekuwa streamed mara mil 1 Sportfy ndani ya miezi miwili.Hapo hujagusa Itunes,Tidal,Shazam nk.
View attachment 1223546
Hivyo vitu vitatu hata Mondi mwenyewe hajawahi achieve kwenye maisha yake ya mziki.
Mbingu akiwa Rayvanny na ardhi akiwa Hormonise.Kubali au kataa ila tambua Rayvany kwa Harmonize ni kama mbingu na aridhi.
Basi wew unajiona umeshatoboa life kumbe tukikutana live mkia una fyata.Pale jobless wanapowajadili watu waliowashinda maisha....
Pathetic
Statistics zisizo na kichwa wala miguu,unataka kunambia Rayvany ni bora kuliko Diamond kisa Diamond hajawahi kupata tuzo ya BET?Mleta mada hizo data hawezi kuzielewa.
Wamezoea ubishani wa kishabiki kwenye vijiwe, statistics kama hizo ambazo ziko solid huwa wanazipinga kwa hadithi za "naniliu mbona alisema......".
Umerudi kwenye ubishi wa vijiweni, hiyo sentensi 'Rayvanny ni bora kuliko Diamond kisa Diamond hajawahi kupata tuzo ya BET' umeitoa kichwani kwako.Statistics zisizo na kichwa wala miguu,unataka kunambia Rayvany ni bora kuliko Diamond kisa Diamond hajawahi kupata tuzo ya BET?
Rayvan bila kutoa nyimbo na diamond hana tofauti na bestnasoWeka vigezo hata kwa idadi ya show wanazopiga kwa mwaka,zina karibiana.
Tukitumia criteria za 2018 Harmo alifanya vizuri lkn overall Rayvanny ameachieve vingi WCB kwa mda fupi kuliko Harmo na Hapo ukiangalia Rayvanny nyimbo alizoachia ni chache kuliko Harmonize mwenye nyimbo nyingi na collabo kibao.
kamebebwa na diamond lakini hata hakabebekiRayvanny hana ngoma nyingi ukilinganisha na Harmonize.Diamond alitumia nguvu nyingi kumpromote Harmo sababu watu wengi walidai ana fanana naye sauti,ndio maana Harmo alitoa ngoma nyingi ili muizoee sauti yake baadaye muone utofauti na sauti Diamond.Rayvany ana ngoma chache na hata collabo anazo chache,ukilinganisha na Harmo.
Nitajie hiti zilizo mtambulisha Harmonize kimataifa ambayo hayupo Diamond?Rayvan bila kutoa nyimbo na diamond hana tofauti na bestnaso
Tetema ile miezi miwili streams zaidi ya mil 1,je sasa hivi ishapita miezi nane ,jiulize itakuwa streamed kiasi gani,je atakuwa kaingiza shiling ngapi?kamebebwa na diamond lakini hata hakabebeki
Bila kusahau kishavunja record yakufikisha viewers wengi YouTube Kwa muda mfupi zaidi kuliko msanii yoyote tz,ana international hit songs,kama tetema na pepeta,huyo harmonize ananini zaidi yakutembelea nyota ya diamond? Nawashangaa sana watu wanaompa sifa harmo as if ni mkaliiiiiiii wakat juzi tu kajifanya anamrudisha qchiller kwenye game na kashindwa vibaya.Harmonize ameachieve kitu gani kikubwa zaidi ya Wasanii wengine wa WCB?
Rayvanny vitu alivyo achieve.
1.Tuzo ya BET
2.Kupiga show kwenye tamasha la Essence US,ambao lilijumuisha mastaa wengi
View attachment 1223543
3.Nyimbo yake ya Tetema imekuwa streamed mara mil 1 Sportfy ndani ya miezi miwili.Hapo hujagusa Itunes,Tidal,Shazam nk.
View attachment 1223546
Hivyo vitu vitatu hata Mondi mwenyewe hajawahi achieve kwenye maisha yake ya mziki.
Acha utaahira ww,nani kakwambia mafanikio ya Harmonize yametokana muziki pekee?Utailinganishaje familia ambayo inamtegemea pekee na familia inayomtegemea mke na mume?Kipato cha Harmonize Kwa % kubwa ni mzungu.We jamaa ni pumba sanaa ni sawa na kujitamba una followers wengi kumzidi Mohammed dewij... Muhimu mtonyo kuingiza kwa mwaka unafanana...
Kwahiyo utasema vanny boy ni zaidi ya diamond na harmonize
Ishu ni harmo na rayvanny ila hizo record hata mond hajawahi fikisha sasa weka uthibitisho unaoonyesha kwamba harmo anamzidi rayvanny weka record tuzione zauyommakondeStatistics zisizo na kichwa wala miguu,unataka kunambia Rayvany ni bora kuliko Diamond kisa Diamond hajawahi kupata tuzo ya BET?
Jamaa yuko sahihi. Harmonize ana Fanbase kubwa kuliko Rayvan.Weka vigezo hata kwa idadi ya show wanazopiga kwa mwaka,zina karibiana.
Tukitumia criteria za 2018 Harmo alifanya vizuri lkn overall Rayvanny ameachieve vingi WCB kwa mda fupi kuliko Harmo na Hapo ukiangalia Rayvanny nyimbo alizoachia ni chache kuliko Harmonize mwenye nyimbo nyingi na collabo kibao.
Nice..Na kwanini wamtengeneze harmonize mwingine?
Watamtengeneza msanii mwingine mwenye jina tofauti na harmo na mtindo wa usanii tofauti na harmo..na huyo msanii atakua anatambulika kitofauti na harmo.
Hata Rayvanny ana Fanbase kubwa sana ,usifanya masihala nyimbo kuwa streamed mara mil 1 ndani ya miezi miwili sportfy.Jamaa yuko sahihi. Harmonize ana Fanbase kubwa kuliko Rayvan.