Sawa tumekubali Harmonize atapotea. Je,WCB ina uwezo wa kumtengeneza Harmonize mwingine?

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Bado hujajishtukia tuu..
Huyo anaitwa Jah prayzah..
Wewe ulikuwa umekazana JAH PREYAH.

Mbona hapo MTV wameandika jah prayzah??

Wewe huyo wako Jah preyah katoka wapi??
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kumbe unamjua tena mpaka herufi za jina lake unazifahamu,for me hio ni typing error,alafu unajifanya humjui huo UNAFIKI.
 
Huyo Mond aliondoka kwa bob Jr kwa amani? Mbona hakuangunga kaisanii?
Msimtishie nyau dogo. Huwezi kuishi kwenu siku zote.
Sio kwa bob jnr alikuwa chini ya papa misifa akamlipa milion 18 enzi zile akaondoka mbona jamaa hakuweka kinyongo
 
Master Jay alimkataa Harmonize kipindi cha Bongo starsch,ila Mond akamuokota na akamtengeneza akawa kaka sasa anavyojiita Kondeboy manake kaamua jitengeneza Upya,So wasafi hilo hawanashida watatengeneza Msanii mwingine sio Konde!Na linawezekana sana mana pale ni chuoni na mwalimu wa Muziki yupo pale.
 

Ndani ya miezi mitatu . Mwezi wa 6 hadi wa 9 , Diamond kapiga shows Sawa na Harmonize alizopiga tangia mwaka jana ... over 40 shows
 
Harmonize mwingine wa nini?
 
Yale yale walioliokuwa wakimalalmikiwa ruge ndo wanayoyafanya.
Maana naye alikuwa anapiga pin nyimbo za wale anaogombana nao same na wanachofanya WCB.
 
Hata Mavoco mlimwambia hivyi hivyo! Mwacheni afanye yake, hamna lolote la kumsaisia
 
pumba kabisa source za Facebook za ku edit.
 
pumba kabisa source za Facebook za ku edit.
We wasema,lkn hiyo habari ni valid na show hizo zote kapiga,kukataa kwako hakubadilishi kitu,umepewa reference ukitaka habari kamili google jina la hiyo festival itakupeleka mpaka kwenye website simple tu wala hutumii nguvu.
labda uko sportfy kuna watu wapuuzi puuzi utajuaje?
Najua kwa makusudi umeamua mwenyewe kutoku elewa atleast unge google ungeelewa sportfy ni nini na rate zake za malipo zipoje,kule sio youtube unaseleleka kule ,unahitajika ulipe ndio ustream na rate zake za malipo zipo juu sana.

Ila sikulaumu kwa kuwa umechaguwa mwenyewe kuto kuelewa na references nimeziweka,basi WE ENDELEA TU.
 
Wakiwekwa Diamond na Harmonize sehemu moja halafu nimchague msanii bora kati yao nitamchagua Harmonize bila kupepesa macho.
 
Na kwanini wamtengeneze harmonize mwingine?

Watamtengeneza msanii mwingine mwenye jina tofauti na harmo na mtindo wa usanii tofauti na harmo..na huyo msanii atakua anatambulika kitofauti na harmo.
Majibu sahihi ya jay z au huyo anayemuongelea Harmo yapo hapa
 
Kwa Tabia anayoionesha Diamond against Harmonize ndo naamini Jamaa ni mnyonyaji afadhali ya Ruge...!! Kama Ruge alikuwa Chatu huyu jamaa ni Anakondaaa... wasanii wake wanafanya kazi kubwa wanaishia kupewa zawadi za magari tu mamaee..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Huwa najiuliza watangazaji wa clouds wanajisikiaje pale wanaporusha matangazo ambayo ndani yake kuna sauti ya Diamond.
 
Sema dogo kupotea lazma kosa alilofanya ni kushindwa kujitengengeza yeye na kujivika umond mwingi mno

Sasa Saiv atakuwa na kazi ya ziada ambayo anaweza asifanikishe kabisa
Hata kupelekea kushuka kimziki

Angalia collaboration yake ya juzi upande wa views amepigwa kweupeeeee mno

Na haijawah tokea harmo akatafta viewers 1m kwa wiki 2

Hapo mwanzo
 
Kila binadamu ni original copy of his own. Kumtaka mtu afanane na fulani ni upumbavu wa kiwango cha magogoni
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe unamjua tena mpaka herufi za jina lake unazifahamu,for me hio ni typing error,alafu unajifanya humjui huo UNAFIKI.
Unafki na Utanzania ni chanda na pete
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…