We wasema,lkn hiyo habari ni valid na show hizo zote kapiga,kukataa kwako hakubadilishi kitu,umepewa reference ukitaka habari kamili google jina la hiyo festival itakupeleka mpaka kwenye website simple tu wala hutumii nguvu.
Najua kwa makusudi umeamua mwenyewe kutoku elewa atleast unge google ungeelewa sportfy ni nini na rate zake za malipo zipoje,kule sio youtube unaseleleka kule ,unahitajika ulipe ndio ustream na rate zake za malipo zipo juu sana.
Ila sikulaumu kwa kuwa umechaguwa mwenyewe kuto kuelewa na references nimeziweka,basi WE ENDELEA TU.