Sawa tumekubali Harmonize atapotea. Je,WCB ina uwezo wa kumtengeneza Harmonize mwingine?

Sawa tumekubali Harmonize atapotea. Je,WCB ina uwezo wa kumtengeneza Harmonize mwingine?

We wasema,lkn hiyo habari ni valid na show hizo zote kapiga,kukataa kwako hakubadilishi kitu,umepewa reference ukitaka habari kamili google jina la hiyo festival itakupeleka mpaka kwenye website simple tu wala hutumii nguvu.

Najua kwa makusudi umeamua mwenyewe kutoku elewa atleast unge google ungeelewa sportfy ni nini na rate zake za malipo zipoje,kule sio youtube unaseleleka kule ,unahitajika ulipe ndio ustream na rate zake za malipo zipo juu sana.

Ila sikulaumu kwa kuwa umechaguwa mwenyewe kuto kuelewa na references nimeziweka,basi WE ENDELEA TU.
Mtu anatumia free basic ku access jf halafu unamwambia atafute details za sportfy. Huoni kama unampa mtihani mzito ?
 
Kwa Tabia anayoionesha Diamond against Harmonize ndo naamini Jamaa ni mnyonyaji afadhali ya Ruge...!! Kama Ruge alikuwa Chatu huyu jamaa ni Anakondaaa... wasanii wake wanafanya kazi kubwa wanaishia kupewa zawadi za magari tu mamaee..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]
Diamond kaonesha tabia ipi against Kondeboy ?
 
spirit ya mtu ktk jambo flani(music) haifananishwi na ya mwingine, atatokea mwingine tena zaidi kama ana spirit kali kuliko ya harmonize!
 
Back
Top Bottom