Sawaa, Si sawaa

LH XiV

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2016
Posts
346
Reaction score
352
Habarini wadau,
Uzi huu ni kuweka bayana mambo uonayo sawa na si sawa katika jamii....

Ni sawa kumpisha mzee kwenye siti ya daladala,
si sawa kuwaacha washkaji ili umpe lifti mdada.
 
Ni sawa kuwa wa kwanza ku comment,,
Si sawa kupita bila ku comment..
 
Ni sawa kufikiria

Si sawa kufikiria ujinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…