Umekosea kuni quote bila shaka.Ww hamnazo kweli una uhakika simba ni ya kwanza kuleta wa [emoji1054]?yanga walishawaleta wa Brazil kitambo kabla ya hao kina fraga
Sorry ni huyo popoma aliyesema simba ndo wa kwanza kuleta wa Brazil nchiniUmekosea kuni quote bila shaka.
Mwamedi ni kanji OGSingida inawezaje kuleta wabrazil na Simba inashindwa?
Acha tunyamaze tusubiri tuone
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Hahahahaaa eti popomaSorry ni huyo popoma aliyesema simba ndo wa kwanza kuleta wa Brazil nchini
Afu ndo walisema nchi itatikisika.....Simba wanatia huruma jamanwabaki kupiga porojo tu
Hamna mchezaji mzuri grade one akasajiliwa na yangaCurrent form yake kwa sasa ikoje? Inaonekana wewe una akili sana kuwazidi ata scout wa Tp mazembe waliompandia ndege kumfata zambia
Umejihakiikishia afu unaulizia habari tofautiNimefuatlia reports za mechi za misimu miwili ya timu ya Diffaa al Jadid ya Morocco na kubaini kuwa jamaa hajacheza tangu Feb 27 2022. Simba wamemuonaje huyu kama anawafaa?
Mwenye rekodi tofauti na hii anirekebishe.
Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
Nimesikitika sana na hii comment yakoUmejihakiikishia afu unaulizia habari tofauti
Sasa wewe na Haji Manara tofauti yenu ni nini?
Unagongewa we jamaa.....
Shauri zako
na mpaka sasa hawana forwad wa kumletaAfu ndo walisema nchi itatikisika.....Simba wanatia huruma jaman
Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
Ndio biashara za mtandaoni hizo, unaagiza Manzoki unaletewa Sawadogo, Dalali tayari ameshapata school fees ya Watoto January hii.Nimefuatlia reports za mechi za misimu miwili ya timu ya Diffaa al Jadid ya Morocco na kubaini kuwa jamaa hajacheza tangu Feb 27 2022. Simba wamemuonaje huyu kama anawafaa?
Mwenye rekodi tofauti na hii anirekebishe.
Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
Yeah ukiwa na pesa MUDA MWINGINE unakuwa huna mamuzi mazuri unafanya mambo ilimradi nafsi ifurahi liwe zuri au baya acha pesa iongeePesa ndo msajili mchezaji aliyecheza mechi 19 kwa misimu 4
Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
MCHEZAJI wa MBUMBUMBU Sc iliyofanya ziara ya Dubai vijijini hivi karibuni.Eleza vizuri.Unataka kutueleza nini?Sawanogo ndiyo nani?Kuhusu nini?
Pole sana.
Timu ya mwisho kuichezea mechi 17 goli 11, mbona kawa bora sana kuliko King Kibudenga [emoji848][emoji38]Jisomee mwenyewe
Wanasubili kina makusu free agent na yule mwingine anayetolewa kwa mkopo na Tp mazembe bwana baleke ndio usajili wao tegemeo wa kutetemesha nchina mpaka sasa hawana forwad wa kumleta
Hana tofauti na kambole atakuwa nae hspo avic town akilishwa mapumba na ungaTimu ya mwisho kuichezea mechi 17 goli 11, mbona kawa bora sana kuliko King Kibudenga [emoji848][emoji38]
BigirimanaWanasubili kina makusu free agent na yule mwingine anayetolewa kwa mkopo na Tp mazembe bwana baleke ndio usajili wao tegemeo wa kutetemesha nchi
mpaka sasa labda baleke wanaeza kumpa ,lakini sio makusu,na hata huyo baleke inabidi waongeze hela kdg watampata,la sivyo...Wanasubili kina makusu free agent na yule mwingine anayetolewa kwa mkopo na Tp mazembe bwana baleke ndio usajili wao tegemeo wa kutetemesha nchi